Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,732
- 4,426
- Thread starter
-
- #61
Hivi mwanamke unamtongozaje hadi anakukubalia?
Katika kukubalia huko anasemaje?
Anakwambia 'ndiyo'?
Upande wa spray utajuaje hiyo utakayonunua itam-rock?
I hate you......
Atakupwelepeta huyo!
Nina kit yako ya vikorombwezo. . . . . .natembea nayo tu!!!
Asante mkuu.Vipo vitu standard kwa watu wanaojua maana ya vitu hivyo kuanzia designers mpaka harufu zake, kama mjuzi ukimpa kit say ya Victoria's secret , Marry Kay, Japanese Cherry (Blossom- signature collection) havuki matuta ya size hiyo. . . .
Ha ha ha ha ha, umenichekesha sana. Lazima wewe ni 'bad News' kwenye sekta ya uwindaji.
Mwanamke akuzingua mteme tu,tell her she is not the only fish in the sea"
Hapo ni kukimbia,hakuna mtu timamu hapounakuta mwanamke unamtumia vocha kila siku ya buku lakini hata siku moja hajawai kupiga simu hivi hapo kuna mwanamke kweli???
Duuuuu!mtihani,hayo yote unakuwa huna kazi nyingine za kufanya???Kama hakukumbuki we kila siku mtafute tu si unampenda. . . . .maadam ana haraka kila siku nawe akija usiweke kambi mnunulie kinywaji akimaliza tu aga mwambie u just wanted to see her. . . . . .Kwenye simu we salimia tu baaaas kama mzima shukuru mtakie siku njema. . . . . . .
Kaa kwa siku kadhaa mnunulie set ya shower gel, splash na spray kama una gari tembea nazo tu siku ukimwita "kumsalimia" usishuke kwenye gari mkaribishe akae kiti cha abiria mwambie ulipenda kumuona kama kapendeza msifie kama hajapendeza usimdanganye. . . . mpe gift yake agana naye. . . . .
Punguza mawasiliano kama anakupenda kweli she will come for you ukiona kimya achana naye atakuumiza tu kichwa . . . . . .Bait for a better fish
Hivi mwanamke unamtongozaje hadi anakukubalia?
Katika kukubalia huko anasemaje?
Anakwambia 'ndiyo'?
Papuchu hadi NDOA kwani ni bikira?kama mwanamke yupo bikra naweza kubali,tena bikra iliyopimwa na kuthibitishwa na Daktari.Sio umeshagawa huko hafu inaleta habari za kusubiri hadi ndoa.nani afanye ujinga huo yaani nipasuke hela halafu mwisho wa siku unitelekeze bila hata ya kukujua unafikiri hatuwajui usaliti wenu kwenye mapenzi
Duuuuu!mtihani,hayo yote unakuwa huna kazi nyingine za kufanya???
Kwani mwanamke akikupa ndo anakupenda?vuta subira kijana mambo mazuri hayataki haraka tatizo lenu nyie tukishawapa papuchi dharau zinaanza na muda mwingne mnakimbia kabisa ,siku zote mwanaume unayempenda usimpe papuchi mpk ndoa akivumilia huyo ndo Mr.right uliyekuwa unamsubiri
Kwa utaratibu huu mi unanipotezaKwani mwanamke akikupa ndo anakupenda?vuta subira kijana mambo mazuri hayataki haraka tatizo lenu nyie tukishawapa papuchi dharau zinaanza na muda mwingne mnakimbia kabisa ,siku zote mwanaume unayempenda usimpe papuchi mpk ndoa akivumilia huyo ndo Mr.right uliyekuwa unamsubiri