Mnanishangaza sana, kwani nikitongoza wa mtandaoni namuoa siku hiyo hiyo? Huwa nyie mnaotongoza wa kanisani mnafuata principle gani kuwaoa hao mnaowatongoza? Mnatongoza leo na kuoa kesho au mnatongoza na kufuata njia sahihi za urafiki, uchumba hadi kufikia ndoa? Don't be shortsighted watu wa mmu. Nimedate online na nimetafuta wa kanisani, niliachana na hao wa kanisani longiiii, nothing interesting from them, nimemuona mtu from jan-Dec sina ashki nae, nimtongoze wa nini? I fancy embarking on relationships online, na mahusiano nilioanzia online yamekuwa matamu kuliko hayo ya kukutana church, kwenye daladala na mtaani.