Watakua wanazifutaHivi kuna baadhi ya comment mod wanafuta? Au hii janja yangu iko na shida, kabla sija refresh comment zinasoma let say 402, nikirefresh nakuta pungufu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh mbona kwangu zipo 600+Hivi kuna baadhi ya comment mod wanafuta? Au hii janja yangu iko na shida, kabla sija refresh comment zinasoma let say 402, nikirefresh nakuta pungufu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni mwanamke wewe utakua mjeuri sana, na kama ni mwanaume utakua unapigo za kike
Hapo anzia na "hellow cute" wanalipenda sana
kilicho akilini kitumie
Whatever manKama ni mwanamke wewe utakua mjeuri sana, na kama ni mwanaume utakua unapigo za kike
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni utapeli. Unaniita cute hata hunijui. Kama mtu anapenda kudanganywa ndo ataanguka kwenye hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Si kweli hata kwako ni mbabe sidhani.Duh!!
Aisee wewe bibi ni mbabe kinoma
Bro hili jina inalotumia linaleta ukakasi
Habar ya kwako bi mdada???? Mtoto wa handeni asali ya moyo tulizo la nafsi manukato ya nguoniHuu ni utapeli. Unaniita cute hata hunijui. Kama mtu anapenda kudanganywa ndo ataanguka kwenye hili
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja namm nitakuPMNilikuwa nashangaa inakuwaje mtu anatumiwa message hajibu? Nikagundua huku kuna mataahira huwa wanatuma meseji kwa kujaribu au sijui nisemeje? Jitu linakupm leo 'mambo'? Unalijibu hapo hapo 'poa vipi'? Halijibu linapotea. Sasa hivi nikiona mtu simuelewi amenipm nafuta na ku-unfollow wala sihangaiki naye
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa nini unamuita bro mtoto wa kike?Bro hili jina inalotumia linaleta ukakasi
Nahizo pink pink hapo avatar ndio kabisa
Nakuona tu aiseee.Si kweli hata kwako ni mbabe sidhani.