Wanawake vimodo/English figure

Tanzanian lady

JF-Expert Member
Joined
Jul 25, 2017
Posts
261
Reaction score
320
Heshima yenu wakuu
Niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikiona watu wengi wasomi, maarufu na Wenye pesa wakioa wanawake vimodo yaani kwa Lugha nyngine vimbau mbau

Research hii ni tofauti ukilinganisha na wale wenye maisha ya kawaida au maisha ya chini wale wenye elimu ndogo wanaooa wanawake wenye misambanda kama mnavyoita wenyewe

Unadhani ni kipi haswa kinachopelekea jamii hizi kuwa na wenza wa namna hizi

Karibuni wenye uelewa Mpana wa haya mambo!
 
Kwa sababu sio wasumbufu kama hawa wa misambwandwa..'mizigo' 'chura'..

Wako poa sana hata mimi nawakubali ndio ugonjwa wangu...nitakuja kuwaoa Mungu akijaalia
 
Unachoongea kuna ukweli kiasi chake.Wanaume tamaa zake huanza na kuona kwanza kwa mwanamke inakuwa kusikia .Mwanaume akiona mwanamke mashallaaah kajaliwa na mwenyezimungu Msa
Napoint moja tuu hapa kwamba swala la portability, simplicity na activeness.
Wanawake wanene wanakuwa wazito ,wengi wavivu na mambo mengine mengi yanayoendana na unene. Hivyo English figure ziko portable
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…