Gucci gang
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,451
- 4,500
huu Uzi wa kijinga balaa yani hadi cha kusema ambacho kiko positive sina
Hahaha kili niki quote nafuta tuEeeeeeeh
Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"
Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package
Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho
Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=
Hata Nandy mwenye kabadirika now
Uzi tayari
View attachment 1147618
Hahaha nawapenda sana nyie mnaovaa shumizi aka vishidaTusiovaa chupi tunaruhusiwa kucomment
Hahahahahaah kwa nini unafutafutaHahaha kili niki quote nafuta tu
Kuna Mchepuko wangu kanitumia hiyo picha, " Etii Bebiii naomba nitumie elfu 11 ninunue chupi"
Mimi nilijua ananua chupi moja kumbe anataka dozen/ package
Hivi kweli package yote hiyo inauzwa elfu 11.????? Hapaana mchepuko wangu hawezi vivaa vichupi vya bei ndogo kiasi icho
Nimemuambia atafute chupi nyingine zinazoghalimu angalau elfu 50. Sio kuvaa kichupi cha 1800/=
Hata Nandy mwenye kabadirika now
Uzi tayari
View attachment 1147618
NaletewagaHujui unaponunuaga?!
Hapana Wala sio heavy weight saizi ya Kati tuuWewe ndio wale heavy weight
Hapana Wala sio heavy weight saizi ya Kati tuu
mara ooh hatutaki mawigi..ooh single maza hawafai..ooh tunataka msambwanda...sasa watu mmehamia kwenye chupi..wanawake kazi wanayo
Mie chupi Tu mkuyenge huo unasimama.
Sijui Nina matatizo?