Mtoto wa kitaa
Senior Member
- Nov 7, 2012
- 149
- 17
Unaweza kukuta mwanamke alikuwa mshamba ata kutumia lotion ajui kafundishwa jeuri ya kuishi mjini ,nae anakuwa mjanja zaidi mshauri jamaa achape lapa ,wanawake wako wengi kitaa wanatafta wa kuwaoa amwache agange njaa akome na jeuri yake.
NAKUHESHIMU SANAAAAAAAAAAAA! Jiangalie!!!!!
Nimekuheshimu nimekuja kuchangia thread yako then UNANITUKANA?????? KAMA NITACHANGIA CHOCHOTE UTACHOANZISHA MAISHAAAA YAKO!!!!!!
Kila nikikusoma kiongozi naona ni kama wewe vile " samahani lakini "
Mkuu ,kwanza nimpe pole jamaa yako kwa kupata kimeo ,huyo demu anaweza kumsababishia matatizo mengi si mwanamke wa kuoa kama angekuwa wa kuoa angeonekana mapema kuna wanawake katika jamii ni wazuri lakini sio wife material wapo wapo tu mitaani wanatumiwa na kuacha inawezekana akawa ni miongoni mwao, hapo jamaa apendwi ila kinachopendwa ni ela na maduu wa namna hiyo huwa hawadumu kwenye mahusiano , inaonesha dhahili kwamba atakama jamaa atapata pesa leo kesho akikosa huyo duu atamdharau tu,mshauri jamaa amuepuke sana na aachane nae atafute mwanamke mwingine amwache huyo mwanamke dunga embe asiye na shukrani.
ume generalise sana ki ukweli,kuhusu wanawake,na kama umeona hawafai hamna haja ya kushauriwa
Ungeandika hii thread ni maalum kwa wanaume tu uone kama tungejisumbua kuchangia. Huwezi kuwatia ubaya wanawake wote duniani kwa kosa la huyo mwanamke mmoja! Kuna wanaume wangapi wanawafanyia wanawake makubwa kuliko alilofanyiwa jamaa yako na bado hatu generelise? Kwanza hii story ya upande mmoja anayoyafanya huyo jamaa yako hujayasema:A S angry:
lelo libore.
hii issue inakuhusu hakuna cha jamaa wala nini.. tafuta hela demu atarudi mwenyewe kwenye mstari... mwanaume hela sio ndevu!
Umesema kaokoka??? hebu ongea kwa sauti kidogo maana hapa kuna makelele.
Eenh kama kaokoka mbona wanawekana kinyumba tena???
1.kosa la mwanamke mmoja lisikufanye utukane wanawake wote
2.mwambie jamaa asepe uyo hafai ..mwanamke anayeendeshwa kwa fikra za kipato ni mchungu zaidi ya shubiri....yaani ukiwa na pesa na ukatimiza nids zake bas atakuheshimu na kukuona we mwanaume ..ikitokea umeishiwa basi wewe ni mxenge...haaaaaaaaaaa apanauyo sio
3.jamaamlokole gan anaishi kimada na mtu?
Even your mother is the devil. Acha kugeneralize wewe!:angry:
Read this short story
· Mume na mkewe waligombana wakiwa safarini ndani ya gari lao. Ugomvi ulipozidi mume akapandwa na hasira akasema,"Wanawake wote ni punda tu!! Mke akanyamaza. ... Wakati wakiendelea na safari wakaona punda anatembea kando kando ya bara bara. Mke akasema,"Mama yako yule anatembea...Simama tumpe lift."