Wanawake sio watu wa kuwaamini hata kidogo

Wild sniper

JF-Expert Member
Apr 3, 2015
4,353
8,464
Habari Comrades.

Mi nataka kujua kitu kimoja, hivi hawa ndugu zetu, dada zetu wana matatizo gani hasa? Hizi story za matukio ambayo yanatokea almost kila siku kuhusu wanawake kupanga misheni za kuwaua waume zao, hii tabia inasababishwa na nini labda?

Maana sasa tutaanza kukosa imani na hawa tunaowaita wake zetu. Mi binafsi nashangaa mwanamke mzima unamframe mwanaume wako auliwe kisa Mali au wivu WTF? Sasa akifa wewe unafaidika na nini labda?

Tatizo huwaga ni nini hasa mpaka mnakuwa na roho za aina hiyo?
 
Watakuja,ila hayo mambo yanaanzia kwenye jamii hambako kuna issue ya wanandoa kutoaminiana kwa sababu ya mfumo dume kuwa mali ni za upande wa kiumeni au kuna wakati mwanandoa mmoja anahisi mwezake anakitu zaidi ya hicho.So tuwakuze watoto wetu wote wa kike na kiume maadili mema ya dini wawe na hofu.
 
Tatizo ni udanganyifu uliokithiri wa mwanaume ambao wamekua wakiwaumiza wake zao kila uchao hilo tu trust me...
 
Habari Comrades.

Mi nataka kujua kitu kimoja, hivi hawa ndugu zetu, dada zetu wana matatizo gani hasa? Hizi story za matukio ambayo yanatokea almost kila siku kuhusu wanawake kupanga misheni za kuwaua waume zao, hii tabia inasababishwa na nini labda?

Maana sasa tutaanza kukosa imani na hawa tunaowaita wake zetu. Mi binafsi nashangaa mwanamke mzima unamframe mwanaume wako auliwe kisa Mali au wivu WTF? Sasa akifa wewe unafaidika na nini labda?

Tatizo huwaga ni nini hasa mpaka mnakuwa na roho za aina hiyo?
Nini mume mtoto kambeba tumboni miezi 9
anazaa salama anauwa.
 
umeambiwa ''ishini na wake zenu kwa akili''
pia ''don't trust a woman''
sasa ukienda kinyume na hiv unategemea nn?
 
Habari Comrades.

Mi nataka kujua kitu kimoja, hivi hawa ndugu zetu, dada zetu wana matatizo gani hasa? Hizi story za matukio ambayo yanatokea almost kila siku kuhusu wanawake kupanga misheni za kuwaua waume zao, hii tabia inasababishwa na nini labda?

Maana sasa tutaanza kukosa imani na hawa tunaowaita wake zetu. Mi binafsi nashangaa mwanamke mzima unamframe mwanaume wako auliwe kisa Mali au wivu WTF? Sasa akifa wewe unafaidika na nini labda?

Tatizo huwaga ni nini hasa mpaka mnakuwa na roho za aina hiyo?
Anafaidika na mali wakati wewe usharudishwa kwa muumba wako
 
Back
Top Bottom