Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,471
- 23,744
Mchana nimekaa sehemu nakula pembeni wamekaa wadada wawili.mmoja kaja na boda boda.nipo mtaani sikuwa kazini. Nlienda osha ile gari mlisema sijui ntaitia nuksi.sijui nini.aaargh mtajua wenyewe.
Huyu aliyekuja na pikpiki anawambia wenzie ..."nisubirini niende washroom nikanawe maana ...." Mwenzake akauliza kwa nini ukanawe washroom?nawa hapo uje tule si njaa inauma tumekusubiri sana" akawaambia waanze anakuja.
Akarudi ndo anawasimulia kuwa eti papuchi imeloana...imeloana sababu ya bodaboda kupita kwenye barabara yenye tu mabonde tudogo dogo so ilipokuwa inaruka ruka imemtia nyegeh na ameloana.
Heeeeeh! Nmeshtuka kwa sauti mpaka wakageuka wakanikuta nimeinamia simu yangu.nikasema wasije wakajua nmesikia halafu ikawa nongwa.
Wadada yaani vile vituta au barabara yenye kokoto n.k inawatia nyege?ndo maana kwa sasa kuna malalamiko pia kuwa vile vi bomba vya pressure water kule bafuni vinaharibika. Mnajipulizia maji two hours umekalia tu choo.
Huyu aliyekuja na pikpiki anawambia wenzie ..."nisubirini niende washroom nikanawe maana ...." Mwenzake akauliza kwa nini ukanawe washroom?nawa hapo uje tule si njaa inauma tumekusubiri sana" akawaambia waanze anakuja.
Akarudi ndo anawasimulia kuwa eti papuchi imeloana...imeloana sababu ya bodaboda kupita kwenye barabara yenye tu mabonde tudogo dogo so ilipokuwa inaruka ruka imemtia nyegeh na ameloana.
Heeeeeh! Nmeshtuka kwa sauti mpaka wakageuka wakanikuta nimeinamia simu yangu.nikasema wasije wakajua nmesikia halafu ikawa nongwa.
Wadada yaani vile vituta au barabara yenye kokoto n.k inawatia nyege?ndo maana kwa sasa kuna malalamiko pia kuwa vile vi bomba vya pressure water kule bafuni vinaharibika. Mnajipulizia maji two hours umekalia tu choo.