usawa wa kulia
JF-Expert Member
- Sep 15, 2014
- 454
- 154
Unaweza uwe unataka kumuoa anakukatalia au kukusumbua eti ana mtu wake, kumbe huyo anayedai ni mtu wake hana hata nia ya kumuoa.
Akishachezewa vya kutosha au kuumizwa na huyo mtu ndio anakuja kwako huku ushaoa au una mtu,dawa ya mtu kama huyu na wewe unamchezea.Humwambii kuwa ushaoa.
Akishachezewa vya kutosha au kuumizwa na huyo mtu ndio anakuja kwako huku ushaoa au una mtu,dawa ya mtu kama huyu na wewe unamchezea.Humwambii kuwa ushaoa.