Wanawake nawaheshimu kwa hili jambo

Wanawake nawaheshimu kwa hili jambo

iphone 18 promax

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2012
Posts
2,917
Reaction score
2,142
Mimba ya miezi 8..jpg
Nikiona wanawake wakiwa na hii hali huwa nawahurumia sana sijui huwa wanapata shida lakini utashangaaa wanazurula kama nini wakati ukimwangalia anapata shida kweli ni zaidi ya kitambi kwa wanaume
 
mwanakungumbala kuzurula ni muhimu ni sehemu ya mazoezi. anyway kwa niaba yao naomba niseme ahsante kwa kutuheshimu
 
Last edited by a moderator:
Heri yako umelitambua hilo, sio kila mara kutuponda sisi wadada na mama zenu. Hakuna kama mama.
 
huko vijijin mama yuko hivo na shamba anaenda.........

tena anlima hasa sembuse hao wanaozurura
 
kuzurula ni muhimu ni sehemu ya mazoezi. anyway kwa niaba yao naomba niseme ahsante kwa kutuheshimu

Basi mke wangu nitakuwa namtembeza sana huwa namhurumia kila muda kwa kuona alivyo na hali tu nashukuru kwa ushauri
 
Basi mke wangu nitakuwa namtembeza sana huwa namhurumia kila muda kwa kuona alivyo na hali tu nashukuru kwa ushauri

exactly usipende akae tuu..awe anatembea na pia umpe company ikiwezekana...
 
ataendaje shamba wakati na hali kama hii utakuwa ukatili sasa

Sasa uko kijijini unafikiri wanaishije...? Tena unakuta ana mtoto mwingine mgongoni....na akirudi ana mzigo wa kuni kichwani.....
 
kuna mama nilikua naongea nae kutoka kijij fulani,anasema alipatia uchungu shambani na wiki mbili baada ya kujifungua shughuli za shamba zinaendelea..

Bora huyo wa wiki mbili....tulienda kijijini...wifi yangu kajifungua na baada ya siku tatu akaenda shamba...

Kiukweli nilisema asante Mungu kwa kuishi mjini...maana haya ni mateso....nilimhurumia lakini ndo hvyo maisha yao ya kijijini...
 
Tunashukuru kwa kweli.......miezi tisa si mchezo....
 
Mtu akimuheshimu mwanamke amepata thawabu kwa Mungu...Nampenda sana mama Bhooke!
 
Mom I adore you n I'l do any thing for you, Respect to all women
 
Sio kweli kusema tuwaheshimu wanawake wote. Vipi hao wanaotoa mimba na wanaowatupa vichanga kwenye mifuko ya plasti na kuwadump kwenye dustbin? Juzi lilitokea UDOM can we go on respecting all women?
 
Sio kweli kusema tuwaheshimu wanawake wote. Vipi hao wanaotoa mimba na wanaowatupa vichanga kwenye mifuko ya plasti na kuwadump kwenye dustbin? Juzi lilitokea UDOM can we go on respecting all women?
Ndio twapaswa kuwaheshimu on the ground that if it were not our moms, you n i would'nt have existed in this earth. Think how they brought us up, fed us, brought to school just to make sure we have good life as now. We always have their supports in our life.
Mpaka mwanamke akachukua hatua ya kubeba mimba miezi tisa kisha mtoto akamtupa basi jua kuna sababu tena ni sababu iliyosababishwa na aliyempa mimba. Swala la arbotion naona udunia/ western cultures zimewaharibu dada zetu.
 
its not a simple joke being like dat for nine months
 
Jamani mimba kuibeba miezi 9 si mchezo namshukuru Mungu kwa afya njema baba mtoto wangu,familia yangu na yake kwa support mpk kipindi hiki ninachotarajia kupata mtt. Big up kwa wamama waliolea mimba peke yao bila support ya baba watoto cjui ht wamewezaje kwa kweli.
 
Back
Top Bottom