Wanawake na wanaume wa dar 95% huvaa suruali za kubana

eden kimario

JF-Expert Member
Jun 13, 2015
10,227
16,178
1467887777689.jpg

Ukifika dar cha kwanza kujutana nacho ni wanawake na wanaume wa dar wakiwa wamevaa suruali za kubana
Jambo hili lilinishangaza sana na yasemekana wameiga huko mamtoni kwa wasanii na waigizaji wa huko nao wakaanza kuzivaa huku wakijiona wamependeza kupita kiasi
Hata kwa wanaume na wanawake wanaotoka mkoa nao wameingizwa mjini
Ilinilazimu kuuliza inakuaje wanawake na wanaume wa dar ni visuruali vya kubana tu
Niliishia kuonekana mshamba tu na wakuja
Sijui kiafya ikoje lakini naamini wanawake na wanaume wa dar wanaangamia taratibu bila kujijua kwa sababu za hivi visuruali vya kubana
Mtaalam mmoja aliniambia kua zinasababisha upungufu wa nguvu za kiume pia
 
Lengo la kuvaa nguo za kubana ni kuonesha ulivyoumbika. Mwanaume anaefanya hivyo ni wa kumtazama kwa tahadhari sana kwa kuwa huenda anaingizwa uchafu mwilini kupitia tundu ya kutolea uchafu!
 
View attachment 363830
Ukifika dar cha kwanza kujutana nacho ni wanawake na wanaume wa dar wakiwa wamevaa suruali za kubana
Jambo hili lilinishangaza sana na yasemekana wameiga huko mamtoni kwa wasanii na waigizaji wa huko nao wakaanza kuzivaa huku wakijiona wamependeza kupita kiasi
Hata kwa wanaume na wanawake wanaotoka mkoa nao wameingizwa mjini
Ilinilazimu kuuliza inakuaje wanawake na wanaume wa dar ni visuruali vya kubana tu
Niliishia kuonekana mshamba tu na wakuja
Sijui kiafya ikoje lakini naamini wanawake na wanaume wa dar wanaangamia taratibu bila kujijua kwa sababu za hivi visuruali vya kubana
Mtaalam mmoja aliniambia kua zinasababisha upungufu wa nguvu za kiume pia
Mishipa ya fahamu kuaribika
Fangasi sehemu za siri hii ni kwa wote wanawake na wanaume
Pia damu kushindwa kutembea inavyostahili
 
Mishipa ya fahamu kuaribika
Fangasi sehemu za siri hii ni kwa wote wanawake na wanaume
Pia damu kushindwa kutembea inavyostahili
Mkuu vp kuhusu chupi kwa kina dada maana nazo zina bana na zile tight zao unashauri wasivae kabisa ili kujiepusha na fungus
 
Tatizo huo ugonjwa wa kuvaa nguo za kubana,vijisuti,vijeans,vijishert,vi t-shert nk wameanza hao taratibu naona hata baadhi ya mikoa wanaiga uchafu huo! Wao wanawake wanavaa ili kuonyesha morphology zao,wavutie wanaume! Sasa we mwanamme unaevaa hivo ni vipi? Or may be wanawake wa huko wanavutiwa na kuona maumbile ya wanaume pia,misuli nk.viji shert utadhani blauz
 
Tatizo huo ugonjwa wa kuvaa nguo za kubana,vijisuti,vijeans,vijishert,vi t-shert nk wameanza hao taratibu naona hata baadhi ya mikoa wanaiga uchafu huo! Wao wanawake wanavaa ili kuonyesha morphology zao,wavutie wanaume! Sasa we mwanamme unaevaa hivo ni vipi? Or may be wanawake wa huko wanavutiwa na kuona maumbile ya wanaume pia,misuli nk.viji shert utadhani blauz
Kazi ngumu hawataki wanatafuta masugar mamy ndio maana kazi kubeba vyuma tu
 
Mnaongea sana, sasa sijui huyu ni mwanaume wa mkoa gani maana Dar hatuna mambo ya kulima!!!! Mjichagulie wenyewe enyi wanaume wa porini huko
Huyu mzaramo wa haphapo dar ndugu huku kwetu mkoani hamna kituko kama hicho
 
Back
Top Bottom