Wanawake na ushamba wa Online Dating



yaani unachat na rafiki kwenye dating site huo ushamba umeutoa wapi ndo maana mitandao ya kuchat ipo we utakuwa msu-kumaaa nini
 
Mi nna bahati ya kupata wazungu ila sasa tatizo nikiwatajia Utaifa wangu kuwa natokea Tanzania wananiblock sijuwi kwa nini.
 
Mi nna bahati ya kupata wazungu ila sasa tatizo nikiwatajia Utaifa wangu kuwa natokea Tanzania wananiblock sijuwi kwa nini.

wanajua utakula tunda kimasihara ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
 

Eti kuchat
Kupata vichekesho kama hivo unatuma meseji kwenda namba ipi??
 
Huko unapomuelekeza aende ni kwa wauza papuchi ..

Papuchi inauzwa laki nadhani zitakuwa zimechanganywa malimao,mdalasini,giligilani,king'asti au zinakuja mbili kwenye package
kabisa mkuu 100k et 1 hr
 
Eti kuchat
Kupata vichekesho kama hivo unatuma meseji kwenda namba ipi??
Sasa mukimuchamba bila ya kumupa elimu si atabaki mulemule.

Dating site ni uwanja/eneo la kukutanisha wa Kike na wa Kiume, wengine kuona kama wanaweza kuishi pamoja, na site nyingine mnaenda moja kwa moja kwenye mada, unatajiwa dau, kama unamudu mnapanga makutano kisha yanayofuata yanawafurahisha.

So uki sub scribe huko maana yake upo sokoni, kwa kuwinda au kuwindwa.
 
Mkuu,kule Badoo usilete mbwembwe za kutongoza.

Ngoja nikufundishe.
1: Salimia
2: Akijibu salamu,uliza anapoishi (turn on location kwa uwezekano wa kupata walio Karibu)
3: Uliza Kama anapatikana ( wengine sio wa kujiuza)
4:Uliza bei zake ( Kawaida au 0714)
5: Omba namba ya simu
6: Mpigie Kisha anza upya kupanga nae Bei ( huwa wanaanza na bei kubwaa
7.....โ€ฆ........
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ