Yaani akuweke wazi wewe kama nani labda!!!Kama mshikaji ni kimeo basi ilitakiwa mwanamke aniweke wazi....mwanaume anayehudumia kwa uchungu hajui hayo na wala hajui kama unajua au hujui akikuta naye na amekufumania utapata balaa...still nawalaumu wanawake kwa hili
Haya.Unafurahisha sana.
Unamjengea demu wakati wewe huna makazi hahahahahaha
Nimekumbuka kuna nyimbo inaimba kumnumnulia simu walipoachana kampokonya sijui hii aliimba nani by the way afanye amehonga maana na yeye kapewa papuchi miaka mitatu wamalizane hivo Tu
Note kuna papuchi tamu huwezi wacha watu walie tu
Papuchu nyingine zina asali ukilamba hautakubali kuichaaIla kweli Papuchi nyingine tamu jamani!!! Kuziacha shughuli!!! Mwee!!![emoji39]
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mwanamke mzuri katika uzuri wake.Mwanamke mpumbavu tuu huweza kufanya hayo. Mwanaume anakupenda pale unapopendeza, ukimpata wa kukufanya wengine wakuone we ni mzuriii mheshimu mnoo
Habari ni nzuri mkuu, niomeiona tena jumatatu ingine kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu!!!! Naamini u Mzima pia.Mwanamke mzuri katika uzuri wake.
Sakayo habari za hasubui?
Nakutakia siku iliyo njema