Military Genius
JF-Expert Member
- Mar 3, 2019
- 760
- 1,445
.kuna mdada namuona apa kila siku lazma apate nusu kilo ya ktimoto na castle lite mbili uyu mpka mwez uishe ata pasuka tumbo
Am glad nimekufanya ufurahi usiku wa leo, usiache kutupa mrejesho lakini, ikiwa umeiona au hujaionaNimecheka mno
Mimi bila hata kufanya hivyo sina kitambi.Am glad nimekufanya ufurahi usiku wa leo, usiache kutupa mrejesho lakini, ikiwa umeiona au hujaiona
Please take the test, pleeeease!Mimi bila hata kufanya hivyo sina kitambi.
I'm sure 100%
Diploma inahusiana vp na kitambi? Wewe ni mshamba?Kama manzi wangu yuko diploma na ana kakitambi sembuse wanawake wenye miaka 30+
Kwa umri wake inanishangaza kuwa na kitambi ingawa yeye hawazi.Diploma inahusiana vp na kitambi? Wewe ni mshamba?
Sina haja ya kufanya testPlease take the test, pleeeease!
Wooow! what a lady, come dm plz, lets talkSina haja ya kufanya test
Ongea tu hapa hapa nakusikilizaWooow! what a lady, come dm plz, lets talk
Hujui hata matumizi ya earphone mdada au makusudi tu kuweka loudspeaker kwenye basi?Ongea tu hapahapa nakusikiliza
sijawahi tumia earphoneHujui hata matumizi ya earphone mdada au makusudi tu kuweka loudspeaker kwenye basi?
dm kuna sound proof kule, twendzetu plz. Wengine tukiongea huwa sauti zetu kali sana, nisije kuwakera wengine hapa ukumbini.sijawahi tumia earphone
Sawa nimekuruhusudm kuna sound proof kule, twendzetu plz. Wengine tukiongea huwa sauti zetu kali sana, nisije kuwakera wengine hapa ukumbini.
Binafsi sina kitambi ila tumbo ninalo, nimeuliza hivyo ili kuweka sawa hii kitu
Nimefanya Kama ulivyoandika na kyupi nimeiona fresh
Mh sio wewe ndo unataka nifanye hivyo?
KwaheriLa hasha, mi naogopa ukichora saba.
Hahahaaa afu ukute mwanamke mwenyewe ana tako Kama nyuma ya koleo afu awe wilani (NAMTUMBO) Noma
Ngoja waje Mkuu.