Wanawake mpoje nyie viumbe

mkuu,ulikuwa unahaja gani ya kuniita dada? Unataka nikufunulie upande wangu wa pili?
 
Alinichamba na kunidharalisha mix matusi na kuniambia nisimzoee nifute namba zake, sikumjibu chochote, zimepita wiki tatu ananicheki kaniambia mbona niko busy sana simtafuti
Kwani hujui kuwa hao ni viumbe ? kakutukana hivyo na kukufukuza lakini ikipita hata nusu saa akikuona na mwanamke mwingine ,valangati litaanza hapohapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…