Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
Kuna binti m1 alianza kuwa rafiki yangu 2 wa kawaida cz alikuwa anamjua gf wangu nikaona nothng cras can hapen amont us so nikamfanya rafiki yangu wa kawaida 2,bt nikawa cmwelewi elewi kwa spid aliyokuwa anakuja nayo,mara aniite dia,mara darling hney na kila alichokuwa anafanya alikuwa ananiambia ucku .halal mpk anipigie cmu 2ongee atleast lisaa limoja na nusu najua kwa mwanamke kumuita mwanaume dia ni ki2 cha kawaida bt we were close enough kuliko hata lovers
Basi bwana nikajua mtoto kanielewa na nisipomtia neno ataniona mimi boya bac nikapanga nae apointment fastafasta akachangamkia mpk. Kiwanja akachagua ile namtia neno 2 ful kushangaa hee ww unawezaje hvyo wkt unajua una gf wako aku mie ctak nikaona co ishu nikampotezea kama cku 3 nw anaanza tena "bby mbona umeni2pa cku hz"
Jamani mnataka nini mbona hamueleweki kama hauwezi kunidate basi ucwe close na mm sana na kuniita cjui dia b.by mnatupeperushia ndege we2 wengne naomba kuwasilisha,
Basi bwana nikajua mtoto kanielewa na nisipomtia neno ataniona mimi boya bac nikapanga nae apointment fastafasta akachangamkia mpk. Kiwanja akachagua ile namtia neno 2 ful kushangaa hee ww unawezaje hvyo wkt unajua una gf wako aku mie ctak nikaona co ishu nikampotezea kama cku 3 nw anaanza tena "bby mbona umeni2pa cku hz"
Jamani mnataka nini mbona hamueleweki kama hauwezi kunidate basi ucwe close na mm sana na kuniita cjui dia b.by mnatupeperushia ndege we2 wengne naomba kuwasilisha,