Wanawake mnaboa!

Wanawake mnaboa!

Jina lako limenifanya nimkumbuke Aunt mayunga wa pale nyuma ya Nyanza primary (mwanza).
Atakua ni aunt babu sahivi
 
Afu kumbe we ni multipurpose?
Screenshot_20171227-121135.png
 
Jama aunt ni Dada vipi TENA ila ustarabu kwa sisi watu wa tanga tuliofundishwa tukikutana na tatizo hilo naongea nae nijue tatizo NA Mnunulia sabuni dawa na mafuta sio kutangaza
 
ndo tumeosha tumefikia hapo, kwanini usimsaidie kuiosha vile unavyotaka wewe maana hiyo kitu utamu wake ni harufu utaacha wangapi ‘aunt’?
 
Hao watu wanakuwa na makucha marefu hawez kuingiza vidole kule kwenye ile kitu kujisafisha kwa hyo uchafu unasababisha harufu na waona hayo makucha ndo urembo hawajui urembo ni pamoja na usafi na mwanamke lazima uwe msafi sana ndo unakuwa mwanamke unless otherwise wewe ni mbuzi kama mbuzi wengine
 
Hela ya matumizi please uwe unatanguliza! Sio kufungua bomba kila saa kuongeza bili ya maji wakati mlaji ni free p
 
Suala la usafi kwa mwanamke si mpaka wakati wa kuduu tu kutokana na maungo miili na majukumu yetu yalivyo tunahitaji usafi wa hali ya juu

-Ukutane na mwanamke Yupo mp hajaoga

-Ukutane na mwanamke kakojoa kojoa hajanawa au kujifuta kunako

-Ukutane na mwanamke ananyonyesha asubuh hajaoga na usiku amepigwa p plus mikojo ya mtoto

-Ukutane na mwanamke katoka kwenye pilikapilika zake tangu asubuhi afu muingie kitandani hata kama si kufanya Ile kulala nae tu balaa nakadhalika nakadhalika

Msifocuss kwenye kutombana tu hata kwenye interactions nyingine unaeza kuta mabalaa


Cc Smart911
NAOMBA UWE DEMU WANGU PLZZZ UNA AKILI SANA...........................
 
Uyu mtoa mada huyuuuu kwanini asimsaidie uyo mtoto Wa watu kama kweli alikua ananuka mpaka kuja kumwaga uku wanaume wengine bwanaa
Wanatabia za kiume
 
Back
Top Bottom