Wanawake mliozaa na wenye mimba vaeni nguo za heshima

Mzee Chapuuka

Member
Apr 21, 2017
97
243
Habarini wakuu
Mada tajwa yahusika
Kuna tabia imeibuka miaka ya hivi karibuni ya wadada wanye mimba tena zile kubwa kabisa kuvaa vigauni vifupi huku nusu ya mapaja nje na mtumbo huo
Wengi wanavaa vigauni vyepesi vifupi mno na ikitokea upepo ukavuma basi maungo yao yatabaki wazi
Mdada mjamzito jiheshimu utandawazi isiwe kigezo cha kukaa uchi
Wadada wa mjini mliozaa nanyi mnavaa minguo mifupi na misuruali ya kubana hadi papuchi inajochora jiheshimuni ili watoto wenu nao wawaheshimu
 
Sio waliozaa tuu, ni wajibu wa kila mwanamke kuvaa nguo za heshima!!
Unaposema waliozaa na wajawazito ni Kwamba unaruhusu ambao hawajazaa waonyeshe maungo yao au??! Akianza kuyaonyesha akiwa hajazaa usifikiri akibeba ujauzito au kuzaa atajisitiri, hiyo haitawezekana hao unaowaona huko ni matokeo ya hao unaotaka kuhalalisha kimya kimya
 
Ningeweka picha hapa ila daah basi tu. Mfano wa wanawake wanaovaa kihasara wakati wa mimba ni msanii linah ile mimba inavyofanyiwa showoff jaman
Huyo hajitambui bado, anafikiri yeye ndo wa kwanza kuzaa au!!
 
Ningeweka picha hapa ila daah basi tu. Mfano wa wanawake wanaovaa kihasara wakati wa mimba ni msanii linah ile mimba inavyofanyiwa showoff jaman
IMG_20170427_141258.jpg
IMG_20170427_141202.jpg
 
aisee kweli kabisa juzi nilikua ofisi fulani nimekaa nasubiri huduma akafika dada mmoja mjamzito anabonge la tumbo alafu amvaa kigauni chepesiii kifupi juu ya magoti nikamuhurumia mtoto aliyetumboni!
Ha gaa.. Et ukamuhurumia aliye tumboni...
 
Back
Top Bottom