Wanawake mlioolewa Morning Glory Muhimu


Kwani mazoezi ya mbunye hayaondoi calories?
 
Faida za morning flory ziko well documented wajameni...sasa kumbe kama hutaki kuamshwa asubuhi kwa mume umeenda kufanya nini, kulala? Mume hanyimwi unyumba kadhalika mke pia. Ukijifanya usingizi wa asubuhi mtamu au uko busy unaandaa watoto toka saa kumi na moja asubuhi utaona kilichomyima kanga manyoya
 

me nashangaa kubwa hasa kwa mumeo unamnyima unyumba akapate wapi?? ina mana hao wa kumpa hakuwaona had akakuoa na akili wala hazishtuki mtu akiguswa asubuh utamsikia hebu babu na wewe kwan hulali sjui kwan husubir baadae ahahah hiyo ndo ticket umempa akatafte nyumba ndogo vizur
 

Amina mama waambie hawa mabinti manake wakiingia kwen bdoa na attitude hii ndo wabakuja hapa kuponda tena
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…