Wanawake mlioolewa Morning Glory Muhimu


Duh...kazi ipo.
 
Imekuwa ni ajabu siku hizi za karibuni asubuhi saa kumi na moja unakuta wachumba/wanandoa wapo jogging,wanakimbia pembezoni mwa barabara,sasa wataalamu wa saikolojia wanasema asubuhi mwanamke anahitaji "mpigo mmoja" ili aweze kufanya kazi kwa ufanisi na pili asitamani wanaume wengine kazini lakini pia mzunguko wake wa damu unakua vizuri maana afikapo kileleni damu inakuwa inazinguka vizuri.
My take:-Wanaume muwe mnatupiga "kimoja " kabla ya kwenda kazini!
 
Jaji Mfawidhi, hujapewa morning glory leo?
 
Umpate anaejua hivyo, wengine tumepewa ratiba ya kutiana
 
nikishapinga viwili/vitatu asubuhi siwezi kuwaza kingine zaidi ya noti tuu, ila sasa nkikosa cha morning japo kamoja, lazma akili iwaze namna ya kufidia, hapo ndipo mchepuko huchkua nafasi.
Mchepukaji Mchepukaji tu hata apewe uno kama paracetamol mbili mara tatu kwa siku atachepuka tuuuu.....
Hivo kama unaamua kufanya, fanya kwa kuwa umependa, fanya kwa kuwa unahitaji ila sio kufanya ili asiwaze kuchepuka, utajawekewa p.o.p ya kiuno bureee
 

ndio maana nikaongeza wawili, ukiwa na watatu hukosi cha asbuhi. bila cha asbuhi akili haikai sawa.
 
Mi nataka muda wowote nikihitaji nipate. Iwe jikoni, sebuleni au chumbani ilimradi kusiwe na vikwazo.
 
cheza kiafya uwe mtundu tu kujiridhisha na kumridhisha mwenzako na sio kufanya kama sigara kila ukishiba unataka kuvuta ujue red light itakuwakia muda sio mrefu unajizeesha mwenzio kaegesha shimo tu ww unajaza upepo unafkiri litajaa?
Acha kujidekeza wewe una evidence zozote za kidaktari kuwa ukifanya sana inakuzeesha? mimi nachukulia kama sehemu ya mazoezi wakati mwingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…