mahirtwahir
JF-Expert Member
- Jan 12, 2013
- 613
- 311
Habari wapendwa wa jukwaa la MMU.
Mada yangu leo kwa nini wanawake mnapokosewa na wapenzi wenu ama waume zenu mnapenda kuwaadhibu kwa kuwanyima kipande cha mwili ( Papuchi)?
Hii mie naona sio sawa unamkutia mwanamke anakununia na kukukomalia eti sikupi kwa kuwa umenikera sasa iwe kweli nimekukera hi ndio adhabu yake na kama nimekukera na wewe huoni kama unaendeleza makero kwa kunikera na mimi.
Hii ni sawa na kinyesi kufunikwa na kinyesi kitakachoendelea si mchanganyiko wa harufu tuuu.
Hebu fikiria mwenza wako akienda kutafuta huduma kwengine jeee atalaumika? Wewe uendeleee kubana mapaja yako.
Mada yangu leo kwa nini wanawake mnapokosewa na wapenzi wenu ama waume zenu mnapenda kuwaadhibu kwa kuwanyima kipande cha mwili ( Papuchi)?
Hii mie naona sio sawa unamkutia mwanamke anakununia na kukukomalia eti sikupi kwa kuwa umenikera sasa iwe kweli nimekukera hi ndio adhabu yake na kama nimekukera na wewe huoni kama unaendeleza makero kwa kunikera na mimi.
Hii ni sawa na kinyesi kufunikwa na kinyesi kitakachoendelea si mchanganyiko wa harufu tuuu.
Hebu fikiria mwenza wako akienda kutafuta huduma kwengine jeee atalaumika? Wewe uendeleee kubana mapaja yako.