Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,891
- 52,461
Wengine ni maradhiHahaaa duuu. Ila kuna siku nilienda saloon mapemaa kusuka so yule msusi ilibidi nimkurupue kwake nadhani hakuoga aiseee ule unuko itakua labda ndo hizo shahawa maana uchi zetu huwa hazina harufu mbaya vile hata kama hatujaoga😱
Kuna binti nilisoma nae alikua anabadili chupi na kujisafisha zaidi ya mara tano kwa masaa 12
Alikua na harufu siyo kidogo.
