Usisahau kulazimisha kukuita MUME mbele za watu wakati hapa mahali mwanaume hujafikiria kutoa.Wanawake ni nani aliyewadanganya kuwa mbinu ya kumpata mwanaume akuoe ni kumtegea mimba!!?
Nani aliwaambia wanaume wanataka ndoa? tena za kuparamia bila mpangilio?tena mbaya zaidi kutaka kuwashirikisha hadi ndg kumtambulisha mwanaume bila mpango!yaani nyiee!!
Nani amewaambia kumtambulisha mwanaume kwa shost zako ndio mwanzo wa ndoa???!au kujuana na Mama mkwe?mtaachwa nyie
Nani aliwaambia kumsumbua mwanaume kwa text na calls zisizo na mpangilio ndio tayari umempata mume?au kuweka picha yake dp na status!?
Na yapo mengi,kama una tabia hizo ziache mara moja..la sivyo baadhi yenu mtazeekea kwa wazazi/ndugu zenu.
Nalala.
Sent using Jamii Forums mobile app
haya mambo yanachefua sana mkuu!!Usisahau kulazimisha kukuita MUME mbele za watu wakati hapa mahali mwanaume hujafikiria kutoa.
mkuuWanawake ni nani aliyewadanganya kuwa mbinu ya kumpata mwanaume akuoe ni kumtegea mimba!!?
Nani aliwaambia wanaume wanataka ndoa? tena za kuparamia bila mpangilio?tena mbaya zaidi kutaka kuwashirikisha hadi ndg kumtambulisha mwanaume bila mpango!yaani nyiee!!
Nani amewaambia kumtambulisha mwanaume kwa shost zako ndio mwanzo wa ndoa???!au kujuana na Mama mkwe?mtaachwa nyie
Nani aliwaambia kumsumbua mwanaume kwa text na calls zisizo na mpangilio ndio tayari umempata mume?au kuweka picha yake dp na status!?
Na yapo mengi,kama una tabia hizo ziache mara moja..la sivyo baadhi yenu mtazeekea kwa wazazi/ndugu zenu.
Nalala.
Sent using Jamii Forums mobile app

Wewe hutaki kuitwa majina mazuri ilhali mko kwenye mahusiano? Tena kila siku unamwambia unampenda! Ataachaje kukuita hivyo na kukutambulisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
teh!Sawa baharia mpunguze kuparamia kuna watu wana uchu na wanaume,
Siio lazima kua kwenye mahusiano kama hujui maana ya mahusiano
sibishani na baba wa marehemuPumbu wewe kama hutaki mimba si utumie condom, kulia umetegeshewa mimba ni ujinga sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sometimes sio kuolewa inawezekana usimuache piateh!
uchu wa wanaume had kutegeshea mimba zisizo na mipango?ilimradi tuu aolewe!!!
dunia hii
Sent using Jamii Forums mobile app
kwamba copy.nimekuelewa!Sometimes sio kuolewa inawezekana usimuache pia
Hupendi kupendwa nn