jingojames
JF-Expert Member
- Mar 12, 2010
- 886
- 453
wadada huwa tunajitahidi sana kuwa wasfi, ukikuta baadhi kama huyo ulokutana nae mara nying wanakua hawajitambui na hawapendi kujifunza kutoka kwa wenzao
Sasa huyo mmoja ndio umetujumuisha wote,wengine hayo manyoya kwetu mwiko kuyaacha,tukishamaliza kuoga twapaka kwapani kitu kinaitwa secret au mitchum yaan hata ungekimbiaje au ufanye kazi muda mwingi juan harufu ya kikwapa utaisikia kwa jiran
Hizo deodorant nilizozitaja hapo nadhan kwa miji mikubwa kama Dar inapatikana ,ukishindwa bei unanunua hata zile za 4000 jaman
Halaf swala la nywele kikwapan hata wanaume mnyoe hayapendezi,au yale manyoya ya mwili mzima yanaboa tena yawe kipilipili lol siyapendi,
Kitu kingine uta muona mwanamke amependeza sura imeoshwa vizuri na kavaselin kana waka.
Angalia miguu,balaa hamu yote inaisha.
Mitchum na Secret zipo Dar? Mi naonaga Nivea na zingine zingine za Kichina.
Umeona eee hapa Mwanza sijaziona kabisa,mi ndio hua natumia hizo mpenzi wangu yupo huko ulipo U.S.A huniletea kibao maana hua hatak harufu ya kwapa kabisa,isije kua ni wewe maana humu kila mtu hajui jina la mwenzie lol
Na zile za kiume degree hunukia poa sana,we hutumia ipi?
Mi ndo mpenzi wako...hahaaa won't that be something!
Degree ndo zenyewe hasa zile Adrenaline Series zenye motion activated protection.
Right Guard na zenyewe ziko poa sana.
*** nazo bomba pia.
Mi ndo mpenzi wako...hahaaa won't that be something!
Degree ndo zenyewe hasa zile Adrenaline Series zenye motion activated protection.
Right Guard na zenyewe ziko poa sana.
*** nazo bomba pia.
mnhhh.....
Nimepanda daladala,
Imejaa kupita kiasi,
Nimesimama na pembeni yangu yupo mdada,
Kisura anaonekana si haba,
Kidevu kimejaa ndevu,
Ameshika bomba kama mimi,
Amevaa kitopu, mikono juu,
Jasho chepechepe, manyoya kibao, kikwapa tena ndo usiseme.
Kitop kimepanda juu,
G-string njenje, imefubaa hiyo balaa,
Siwezi kuendelea kusimulia!
Nilitamani safari yangu iishe haraka, nilipofika nikashukuru...nikawaachia dhahama hilo washika bomba walioendelea na safari.
Jamani wadada walau kausafi kidogo basi.
mnhhh.....
Ungemwambia mmachinga anayepita nje akupe ile perfum ya bei rahisi kabisa inaitwa "COBRA" halafu unamwambia mpe huyo mdada.
Mimi inanikera sana kuona mdada ana jasho kwapani yaani inakera mnooooo!! mwengine tena kavaa fresh lakini amesweti jasho hadi wengine blouse nyeupe ina turn YELLOW!! na sababu kubwa ni kuacha manyoya mengi!!!
Nimepanda daladala,
Imejaa kupita kiasi,
Nimesimama na pembeni yangu yupo mdada,
Kisura anaonekana si haba,
Kidevu kimejaa ndevu,
Ameshika bomba kama mimi,
Amevaa kitopu, mikono juu,
Jasho chepechepe, manyoya kibao, kikwapa tena ndo usiseme.
Kitop kimepanda juu,
G-string njenje, imefubaa hiyo balaa,
Siwezi kuendelea kusimulia!
Nilitamani safari yangu iishe haraka, nilipofika nikashukuru...nikawaachia dhahama hilo washika bomba walioendelea na safari.
Jamani wadada walau kausafi kidogo basi.
Ngoja nikakope deodorant alafu nioge.
Kidevu ntashevu nikinunua sukari ili nitengeneze wax.