Wanawake, kuweni siriasi

Wanawake, kuweni siriasi

kajaga88

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2013
Posts
228
Reaction score
31
Habari wana jamvi.

Wiki kama mbili zilizopita, niliandika nikitafuta mke wa kuoa. Nilipata wawili, lakini niliona mmoja ananifaa zaidi na tukaanza process.

Ajabu saizi anautesa moyo wangu kwa hapokei simu,hajibu massege na maudhi mengineyo, sasa kama mtu unakua hauko sirias, better you leave.

Hulazimishwi jaman. Ila bado nakarbisha kwa walioko na nia ya kweli, umri kuanzia 28yrs, akiwa na mtoto 1 ni poa tu, na hasa mkristo.
 
Kumpata mke humu mi huwa naona kama ni bahati nasibu tu...mizaha mingi,wanaume wanajifanya wanawake and vice-versa n.k...ukute dume hilo mdau
 
Umetoa wito mzuri, "tuwe serious". Si tu katika mapenzi bali katika maisha kwa ujumla.
 
Pole lakini usikate tamaa. Vilevile ujue kuwa unapotoa tangazo ni kama wewe ulivyoona kati ya wawili ulimpenda huyo mmoja, sasa huwezi kujua moyoni wa huyo binti uliemchagua baada ya kuwasiliana, nadhani tunapotoa matangazo yanatusaidia kupata contact za wahitaji wa wenza, lakini hiyo haitupi guarantee kuwa lazima utakaowa-contact mtakubaliana. Kwa upande wa binti huyo, ni vema akawa mkweli kama hayuko radhi basi awasiliane nawe kusema ukweli wake.
 
Mkuu kwa jinsi ninavyoifahamu JF lazima utakuwa umechezewa mchezo wa KARATA TATU...........
 
Kumpata mke humu mi huwa naona kama ni bahati nasibu tu...mizaha mingi,wanaume wanajifanya wanawake and vice-versa n.k...ukute dume hilo mdau

this is the REAL MMU...WHERE MEN ARE WOMEN,WOMEN ARE MEN AND CHILDREN ARE ADULTS...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom