Wanawake kupenda tunguli

Wanawake kupenda tunguli

Sosthenes Maendeleo

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
2,741
Reaction score
1,723
Jamani wana JF mimi nina kaka yangu anaishi hapa mjini.

Nimekuwa na tabia ya kumaliza likizo nikiwa kwake, ila siku hizi sielewi ni kwa nini.

Maana huyu shemeji (mke wake) amekuwa anapenda sana madawa ya waganga wa kienyeji (matunguli). Yaani kila sehemu ni tunguli tu sio ndani sio nje. Siku nyingine ukitaka kuoga unaambiwa ogea ndoo beseni niliogea dawa usiku.

Nimekuwa na hofu kubwa sana, kwani kaka hajawahi kuongelea hiki kitu na mimi nasita kumwambia maana nae anamacho.

Pia kaka amekuwa na safari nyingi zisizo na likizo na michepuko mingi balaa.

Naombeni mnipe ushauri maana naona pia naweza kuachiwa K kizembe mimi nipo single jamani
 
Mmhhh, maana kaka anamaliza siku nyingi hafiki kwake mkuu. Sasa majaribu mkuu.
 
Tamaa za macho zilimponza kichwa Mdogo wangu!

Kwa namna ulivyojieleza unatia wasiwasi kama bado kujamuibia kakaako au kama huna hio plani au ndio njia mojawapo hii kuihalalisha kwa kuwa kakayako ana michepuo....... Kama ndio kweli ana michepuo mimgi.. unajua alichovuna huko na kukileta kwa mkewe labda? (kama maongezi yako ni yakuaminika)... Tabia za kaka yako zinakupaje uhalali wa kufikiria hayo unayofikiria juu ya mkewe? Kwa wasichana walivyo wengi hivi dunia ya leo.. hivi unaanzaje kufikiria laana kama hizo?

Uchawi upo sana na wengi wanapotoshwa na kukamatika kwa kuwa ''WAJINGA NDIO WALIWAO''
 
Shetwain anakunyemelea... Kuna uwezekano utamlala shemeji yako..!!
 
Na siku ukithubutu kuchepuka na shemeji yako tu, ujue na wewe utakuwa kama kaka yako😈
 
Back
Top Bottom