raia_mwema
JF-Expert Member
- Oct 10, 2012
- 479
- 314
Heshima zenu wakuu....
Hapa jukwaani kila uchao kwa asilimia kubwa ya thread zinazoanzishwa na wanawake ni za malalamiko na za kutaka ushauri juu ya ndoa zao.Wanawake hamjajiuliza kwann ndoa huwa zinakuwa ndoano kwenu? Wengi wa wanawake huongozwa na tamaa pindi wanapokuwa katika mahusiano unakuta mwanaume anakupenda kwa dhati na kwa moyo wote lakn baada ya siku kadhaa unamtafutia sababu ya kuachana. Mwanaume ukichunguza unagundua yule mwanamke amepata kwingine. Mwanamke anafanya hayo bila kuangalia commitment mtu aliyokuwa nayo kwake. Tena bila kujali. Hii hupelekea wanaume kuwa hit and run.
Lakini Karma hurudi kuwatafuna wanawake maisha yao yote hubaki kulia eti wananyanyasika bila kujua chanzo ndio wao. Ndio maana wengi wanakosa amani kwenye ndoa zao, vidonda vya tumbo vinawasumbua.
Wanawake msipobadilika mkaacha kuwatenda Innocent, basi Karma itawatafuna saana.
Hapa jukwaani kila uchao kwa asilimia kubwa ya thread zinazoanzishwa na wanawake ni za malalamiko na za kutaka ushauri juu ya ndoa zao.Wanawake hamjajiuliza kwann ndoa huwa zinakuwa ndoano kwenu? Wengi wa wanawake huongozwa na tamaa pindi wanapokuwa katika mahusiano unakuta mwanaume anakupenda kwa dhati na kwa moyo wote lakn baada ya siku kadhaa unamtafutia sababu ya kuachana. Mwanaume ukichunguza unagundua yule mwanamke amepata kwingine. Mwanamke anafanya hayo bila kuangalia commitment mtu aliyokuwa nayo kwake. Tena bila kujali. Hii hupelekea wanaume kuwa hit and run.
Lakini Karma hurudi kuwatafuna wanawake maisha yao yote hubaki kulia eti wananyanyasika bila kujua chanzo ndio wao. Ndio maana wengi wanakosa amani kwenye ndoa zao, vidonda vya tumbo vinawasumbua.
Wanawake msipobadilika mkaacha kuwatenda Innocent, basi Karma itawatafuna saana.