Wanawake jitambueni

Wanawake jitambueni

sinajinasasa

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2013
Posts
2,989
Reaction score
4,162
Mwanamke ni kiumbe kitamu sana kwa mwanaume yeyote. Ila kuna baadhi ya vijimambo vyenu vinapunguza credit kwenu. Nilipomuoa mke wangu alikuwa pure natural, lakini kutokana na ushoga na wanawake wenzake akaanza mara kutumia mkorogo ili "apendeze" nikamkataza akaacha.

Kukaa kidogo kaanza kununua rasta na kuzisuka akawa haoshi kichwa mara kwa mara, ukimkisi kichwani au kumkumbatia unasikia harufu za ajabu, nikamkaripia sipendi. Mara kanyoa nyusi original kapaka mikaa " Wanja"
Mara kapaka rangi kucha, anakuwa kama jini na kuacha uchafu
Yaani sasa hivi akirudia kufanya ujinga huo wa kuweka vitu bandia kichwani namgeuzia upande wa pili au namwacha peke yake kitandani.

Aliwaambia nani mnapendeza kwa vitu hivyo. Ukitaka kula romance domo limepakwa sijui lipstic sijui shade yaani unanyonya chemical. Mwanamke kuwa msafi paka mafuta yako mazuri utapendeza tu sio vitu vya ajabu.
 
Mmmh jaman, Ata biblia imesema wanawake wajirembe, sasa cjui ww wa kijiji gan, tatizo LA mkewe c msafi usuke rasta had zinuke ni kukaa nazo Zaid ya mwez chakufanya ww nikumshaur awe msafi bada ya wik mbili au Tatu afumue nywele azisuke, au azioshe hizo nywele zikiwa zimesukwa na zikauke, vipodoz muhimu ila apake ambavyo haviaribu ngoz yake na kumbadilisha muonekano wake, kua na kucha ndefu Sawa ila kwa mwanamke kucha ndefu ni uchafu ila kucha ndefu zasaidia katika kupetpet, mwanaume nenda na wakat, watakutunzia wenzako
 
Ata mie naona kuna wanawake wengine ni wazuri natural akipaka mafuta anapendeza sana sasa shangaa apake hayo mambo yao ata hamu ya kumuangalia inaishaga
 
Maneno hayo ungemwambia angekuelewa sana ila nadhani ujumbe umemfikia
 
Mmmh jaman, Ata biblia imesema wanawake wajirembe, sasa cjui ww wa kijiji gan, tatizo LA mkewe c msafi usuke rasta had zinuke ni kukaa nazo Zaid ya mwez chakufanya ww nikumshaur awe msafi bada ya wik mbili au Tatu afumue nywele azisuke, au azioshe hizo nywele zikiwa zimesukwa na zikauke, vipodoz muhimu ila apake ambavyo haviaribu ngoz yake na kumbadilisha muonekano wake, kua na kucha ndefu Sawa ila kwa mwanamke kucha ndefu ni uchafu ila kucha ndefu zasaidia katika kupetpet, mwanaume nenda na wakat, watakutunzia wenzako
Ukisuka rasta zikae muda gani, na je zioshwe?
Na kuhusu maandiko, kusema mjirembe, ni sawa, ila kuna tofauti kati ya kujiremba na kujipodoa, nyie mnapotumia kemikali na vitu vya bandia kama nywele mko nje ya msitari wa maandiko!
 
rasta mwezi ? ina maana hela ya saluni hutoi .wewe mume mbaya sana wewe
Hizi mambo za saloon kujipodoa ni upungufu wa kisaikolojia, yaani mnajiona mkijiremba kiasili hampendezi, kwa hiyo hamjiamini kama ni wazuri mnatakiwa "kujiremba" siyo "kujipodoa"
 
Rasta zisukwe wiki mbili, toa nywele osha, zikauke nywele zako suka mtindo mwingine, cjui kwa wengine ninapenda mke wangu asuke style tofaut tofaut wakat mwingine akae na nywele zake natural, ajirembe apendeze, mwanamke ni pambo LA nyumba kama ua warid linavyonukia c unakuta mwanamke hajipend, usafi wa mwili wake tatizo, sebulen utafikir stoo, chumban ndio kabisaa, hapo cye, mwanamke mwenye kujipenda Muda wote anavutia na hachujiiiiiiiii
 
Mwanamke ni kiumbe kitamu sana kwa mwanaume yeyote. Ila kuna baadhi ya vijimambo vyenu vinapunguza credit kwenu.
Nilipomuoa mke wangu alikuwa pure natural, lakini kutokana na ushoga na wanawake wenzake akaanza mara kutumia mkorogo ili "apendeze" nikamkataza akaacha.
Kukaa kidogo kaanza kununua rasta na kuzisuka akawa haoshi kichwa mara kwa mara, ukimkisi kichwani au kumkumbatia unasikia harufu za ajabu, nikamkaripia sipendi. Mara kanyoa nyusi original kapaka mikaa " Wanja"
Mara kapaka rangi kucha, anakuwa kama jini na kuacha uchafu
Yaani sasa ivi akirudia kufanya ujinga huo wa kuweka vitu bandia kichwani namgeuzia upande wa pili au namwacha peke yake kitandani.
Aliwaambia nani mnaoendeza kwa vitu hivyo. Ukitaka kura romance domo limepakwa sijui lipsi sijue shade yaani unanyonya chemical.
Mwanamke kuwa msafi paka mafuta yako mazuri utapendeza tu sio vitu vya ajabu.

KWAKWELI WANAWAKE MJITAMBUE KWELIKWELI....
 
Mwanamke ni kiumbe kitamu sana kwa mwanaume yeyote. Ila kuna baadhi ya vijimambo vyenu vinapunguza credit kwenu.
Nilipomuoa mke wangu alikuwa pure natural, lakini kutokana na ushoga na wanawake wenzake akaanza mara kutumia mkorogo ili "apendeze" nikamkataza akaacha.
Kukaa kidogo kaanza kununua rasta na kuzisuka akawa haoshi kichwa mara kwa mara, ukimkisi kichwani au kumkumbatia unasikia harufu za ajabu, nikamkaripia sipendi. Mara kanyoa nyusi original kapaka mikaa " Wanja"
Mara kapaka rangi kucha, anakuwa kama jini na kuacha uchafu
Yaani sasa ivi akirudia kufanya ujinga huo wa kuweka vitu bandia kichwani namgeuzia upande wa pili au namwacha peke yake kitandani.
Aliwaambia nani mnaoendeza kwa vitu hivyo. Ukitaka kura romance domo limepakwa sijui lipsi sijue shade yaani unanyonya chemical.
Mwanamke kuwa msafi paka mafuta yako mazuri utapendeza tu sio vitu vya ajabu.


WANAWAKE WAKATI NIWENU KUJITAMBUA...............
 
Mwanamke ni kiumbe kitamu sana kwa mwanaume yeyote. Ila kuna baadhi ya vijimambo vyenu vinapunguza credit kwenu.
Nilipomuoa mke wangu alikuwa pure natural, lakini kutokana na ushoga na wanawake wenzake akaanza mara kutumia mkorogo ili "apendeze" nikamkataza akaacha.
Kukaa kidogo kaanza kununua rasta na kuzisuka akawa haoshi kichwa mara kwa mara, ukimkisi kichwani au kumkumbatia unasikia harufu za ajabu, nikamkaripia sipendi. Mara kanyoa nyusi original kapaka mikaa " Wanja"
Mara kapaka rangi kucha, anakuwa kama jini na kuacha uchafu
Yaani sasa ivi akirudia kufanya ujinga huo wa kuweka vitu bandia kichwani namgeuzia upande wa pili au namwacha peke yake kitandani.
Aliwaambia nani mnaoendeza kwa vitu hivyo. Ukitaka kura romance domo limepakwa sijui lipsi sijue shade yaani unanyonya chemical.
Mwanamke kuwa msafi paka mafuta yako mazuri utapendeza tu sio vitu vya ajabu.
yani hawa viumbe niwaajabu sana
 
Mwanamke ni kiumbe kitamu sana kwa mwanaume yeyote. Ila kuna baadhi ya vijimambo vyenu vinapunguza credit kwenu.
Nilipomuoa mke wangu alikuwa pure natural, lakini kutokana na ushoga na wanawake wenzake akaanza mara kutumia mkorogo ili "apendeze" nikamkataza akaacha.
Kukaa kidogo kaanza kununua rasta na kuzisuka akawa haoshi kichwa mara kwa mara, ukimkisi kichwani au kumkumbatia unasikia harufu za ajabu, nikamkaripia sipendi. Mara kanyoa nyusi original kapaka mikaa " Wanja"
Mara kapaka rangi kucha, anakuwa kama jini na kuacha uchafu
Yaani sasa ivi akirudia kufanya ujinga huo wa kuweka vitu bandia kichwani namgeuzia upande wa pili au namwacha peke yake kitandani.
Aliwaambia nani mnaoendeza kwa vitu hivyo. Ukitaka kura romance domo limepakwa sijui lipsi sijue shade yaani unanyonya chemical.
Mwanamke kuwa msafi paka mafuta yako mazuri utapendeza tu sio vitu vya ajabu.

Hongera sana, hakika ni wachache sana hapa duniani wenye HAIBA yako ,wengi wanadhani UUBANDIA NDIO UREMBO
 
Mwanamke ni kiumbe kitamu sana kwa mwanaume yeyote. Ila kuna baadhi ya vijimambo vyenu vinapunguza credit kwenu.
Nilipomuoa mke wangu alikuwa pure natural, lakini kutokana na ushoga na wanawake wenzake akaanza mara kutumia mkorogo ili "apendeze" nikamkataza akaacha.
Kukaa kidogo kaanza kununua rasta na kuzisuka akawa haoshi kichwa mara kwa mara, ukimkisi kichwani au kumkumbatia unasikia harufu za ajabu, nikamkaripia sipendi. Mara kanyoa nyusi original kapaka mikaa " Wanja"
Mara kapaka rangi kucha, anakuwa kama jini na kuacha uchafu
Yaani sasa ivi akirudia kufanya ujinga huo wa kuweka vitu bandia kichwani namgeuzia upande wa pili au namwacha peke yake kitandani.
Aliwaambia nani mnaoendeza kwa vitu hivyo. Ukitaka kura romance domo limepakwa sijui lipsi sijue shade yaani unanyonya chemical.
Mwanamke kuwa msafi paka mafuta yako mazuri utapendeza tu sio vitu vya ajabu.
SEMA UKWELI HUNA PESA! PERIOD!
 
Biashara matangazo, atakuwa kapata soko linalopenda hayo madude
 
Back
Top Bottom