Daudi1 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2013 Posts 14,563 Reaction score 22,839 Dec 6, 2014 #21 imaney said: I think mnatusemaga wadada tukifikisha 30 hatujaolewa,na nyie mkifikisha 40 hamjaolewa mnaanza kupanic.... Click to expand... Aiseee ya kweli hayo hapo kwenye bold
imaney said: I think mnatusemaga wadada tukifikisha 30 hatujaolewa,na nyie mkifikisha 40 hamjaolewa mnaanza kupanic.... Click to expand... Aiseee ya kweli hayo hapo kwenye bold
Daudi1 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2013 Posts 14,563 Reaction score 22,839 Dec 6, 2014 #22 Evelyn Salt said: anatukanyagia waya tu hapa Click to expand... Unaandika neno mke/ mchumba kwenda kwenye namba hiyo hapo juu unapigiwa fasta
Evelyn Salt said: anatukanyagia waya tu hapa Click to expand... Unaandika neno mke/ mchumba kwenda kwenye namba hiyo hapo juu unapigiwa fasta
kabanga JF-Expert Member Joined Dec 12, 2011 Posts 37,506 Reaction score 18,872 Dec 6, 2014 #23 CORAL said: Halafu anadai eti mbona hammuelewi! Click to expand... Eti hawamuelewi.....
I imaney JF-Expert Member Joined Nov 10, 2012 Posts 1,014 Reaction score 314 Dec 6, 2014 #24 Daudi1 said: Aiseee ya kweli hayo hapo kwenye bold Click to expand... I mean hamjaoa bwana lol
Daudi1 JF-Expert Member Joined Dec 14, 2013 Posts 14,563 Reaction score 22,839 Dec 6, 2014 #25 imaney said: I mean hamjaoa bwana lol Click to expand... Anhaa huyo hajafika hiyo miaka unayosema anataka wa kugegeda tu si anajua huku wako wengi kuliko mtaani anakoishi au anafikiri wa huku ni watamu kuliko wakina asha na mwajuma anaoishi nao mtaani kwake
imaney said: I mean hamjaoa bwana lol Click to expand... Anhaa huyo hajafika hiyo miaka unayosema anataka wa kugegeda tu si anajua huku wako wengi kuliko mtaani anakoishi au anafikiri wa huku ni watamu kuliko wakina asha na mwajuma anaoishi nao mtaani kwake
Mtama kwa watoto JF-Expert Member Joined Mar 31, 2014 Posts 394 Reaction score 150 Dec 6, 2014 #26 afredy anthony said: naitaji mke jamani 0716284572 Click to expand... Sasa Mke huyo Mkuu unamtafuta kama mwizi utampata kweli? Ebu anza na maneno laini...ebu nambie unaanzaje kumfukuziaa?
afredy anthony said: naitaji mke jamani 0716284572 Click to expand... Sasa Mke huyo Mkuu unamtafuta kama mwizi utampata kweli? Ebu anza na maneno laini...ebu nambie unaanzaje kumfukuziaa?
luckyline JF-Expert Member Joined Aug 29, 2014 Posts 15,153 Reaction score 21,789 Dec 6, 2014 #27 wanawake hawako rahisi kiivo maana hata kujielezea huwezi poleee
P payton JF-Expert Member Joined May 1, 2014 Posts 438 Reaction score 283 Dec 6, 2014 #28 Walah hata niwe na shida na mume kias gan ckutafut unacommand et mbona hamnielew
Walnut Creek JF-Expert Member Joined Mar 17, 2009 Posts 5,812 Reaction score 6,326 Dec 6, 2014 #29 afredy anthony said: naitaji mke jamani 0716284572 Click to expand... Kwa kasi hii, Hutakuja kueleweka. Hata mpenda ngono aliyemaliza kifungo cha miaka kumi jela hawezi kuwa na njaa ya totoz kama wewe. Style up.
afredy anthony said: naitaji mke jamani 0716284572 Click to expand... Kwa kasi hii, Hutakuja kueleweka. Hata mpenda ngono aliyemaliza kifungo cha miaka kumi jela hawezi kuwa na njaa ya totoz kama wewe. Style up.
M CM JF-Expert Member Joined Nov 25, 2012 Posts 2,498 Reaction score 1,482 Dec 7, 2014 #30 Wengine mnalalamika kwamba umepewa mimba then muhusika kakukataa hapo hapo fuesa zingine zimetokea hamzitaki sasa mnataka nini mpewe?
Wengine mnalalamika kwamba umepewa mimba then muhusika kakukataa hapo hapo fuesa zingine zimetokea hamzitaki sasa mnataka nini mpewe?
the american dream JF-Expert Member Joined Mar 25, 2013 Posts 1,754 Reaction score 836 Dec 7, 2014 #31 Evelyn Salt said: Kirahisi tu hivo unfuta mke utadhan unatafuta kuku wako kapotea.... Click to expand... UmeniKumbusha Mzee wangu mmoja wa church aliwahi kuniuliza kuhusu kuoa Nikamwambia hata mchumba sina Akaniambia we umekaa tu hapo unasubiri wakufuateee lol
Evelyn Salt said: Kirahisi tu hivo unfuta mke utadhan unatafuta kuku wako kapotea.... Click to expand... UmeniKumbusha Mzee wangu mmoja wa church aliwahi kuniuliza kuhusu kuoa Nikamwambia hata mchumba sina Akaniambia we umekaa tu hapo unasubiri wakufuateee lol
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,118 Reaction score 165,388 Dec 7, 2014 #32 the american dream said: UmeniKumbusha Mzee wangu mmoja wa church aliwahi kuniuliza kuhusu kuoa Nikamwambia hata mchumba sina Akaniambia we umekaa tu hapo unasubiri wakufuateee lol Click to expand... Bora hata wewe uliesubiri wakufate, sio huyu jirani ako hapa
the american dream said: UmeniKumbusha Mzee wangu mmoja wa church aliwahi kuniuliza kuhusu kuoa Nikamwambia hata mchumba sina Akaniambia we umekaa tu hapo unasubiri wakufuateee lol Click to expand... Bora hata wewe uliesubiri wakufate, sio huyu jirani ako hapa
Mndengereko JF-Expert Member Joined Mar 24, 2011 Posts 7,307 Reaction score 3,416 Dec 7, 2014 #33 Nyege mbaya sana.
Mndengereko JF-Expert Member Joined Mar 24, 2011 Posts 7,307 Reaction score 3,416 Dec 7, 2014 #34 sister said: mshirikishe Mungu atakupa kwa wakati unaofaa..... Click to expand... Hili neno.
KikulachoChako JF-Expert Member Joined Jul 21, 2013 Posts 19,771 Reaction score 39,538 Dec 7, 2014 #35 Mkuu unatafuta mke au papuchi ya kupunguzia gundi lako....??
love more than100 JF-Expert Member Joined Jan 27, 2014 Posts 2,061 Reaction score 715 Dec 7, 2014 #36 Anatafuta kuongeza IQ kinguvu huyu alafu nadhani ndio kameanza kubalee na ni pre~form one huyu kabisaa....
Anatafuta kuongeza IQ kinguvu huyu alafu nadhani ndio kameanza kubalee na ni pre~form one huyu kabisaa....