Ni kweli, hata kuchelewa kuanza kupata watoto au kupata watoto wachache sana nayo pia huchangia.
Na akina mama wapende kunyonyesha watoto wao kwa muda mrefu
Kutonyonyesha inaongeza nafasi ya kupata kanza ya matiti
Na akina baba keep sucking kipindi ambacho hamna watoto wa kunyonyesha, naskia inasaidia pia