Wanawake hizo hela mnapeleka wapi....

aisee. ndio maana kipaumbele cha wanawake kwanza ni pesa kipaumbele cha pili ni pesa na kipaumbele cha tatu ni pesa
 

Hii ishakuwa kila mwamba ngozi huvuta............ Malizia.
mwanaume wa Leo naye je? Anakumbuka wazee wake aache kula starehe binafsi?
 
Hapo bado repair za nyumba kupaka rangi...kunyanyua ukuta uliobomoka...kutoa kwa wagonjwa nk
 
Ukitafuta hela ya mwanamke inafanyia nini utaumia kichwa.
 
Natunza wazazi, inayobaki naweka akiba, ni marufuku mwanamke kusema ana hela
 
Hii ishakuwa kila mwamba ngozi huvuta............ Malizia.
mwanaume wa Leo naye je? Anakumbuka wazee wake aache kula starehe binafsi?
Sie ndo hatifai hata chembe. Hiyo kupiga simu majanga bora hata ya hao kina mama. Tuko radhi tujenge heshima bar na kwa michepuko.
 
Polepole basii kwani umeambiwa ufoke kwa sauti hapa?
 
Asante kwa kunikumbusha mkuu, inabidi mwisho wa mwenzi huu nimnunulie mother dinner set
 
Kubandika kucha, kope na less wig
 
Hata mm huwa nashangaa hawa viumbe pesa huw wanapeleka wap?
Chukulia wale wanaojiuza usiku 1 50,000 mpaka laki lkn unakuta hana hata kiwanja.
Anafanya umalaya miaka 20 lkn hata kiwanja hana zaid ya kula na kuvaa
Hawa viumbe unaweza kumuoa ana kaz tena anakuzid mshahara lkn ukashangaa hela ya nauli, vyupi, lotion, na salon anakuomba achangii hata shiling nyumban baba ww ndo unakomaa kwa kila kitu. Ndio maana wazee wazaman akioa wa hiv anamuachisha kaz akae tu nyumban sbb hana msaada
 
Waswahili tunasema "Kila Shetani Na Mbuyu Wake". Kwa hiyo ina maana ikiwa yeye ni shetani na we ukiwa ni mbuyu wake, yeye ni mbuyu wa shetani wake
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…