Wanawake hawaa!!!

Wanawake hawaa!!!

majany

JF-Expert Member
Joined
Sep 30, 2008
Posts
1,223
Reaction score
586
Jamaa flani alikuwa amelala na
mkewe.Mara akamuona mtu
amesimama
kitandani.
Jamaa akafoka,"Toka hapa,we ni
nani mpaka unakuja kitandani
mwangu?" Yule
mtu akajibu,"Mi ni
malaika;mtakati fu petro,na hapa sio
kitandani mwako uko
mbinguni!"
Jamaa,"Huh! Inamaana
nimekufa,mbona
mi
bado kijana...naomba nirudishwe!"
Malaika,"Inawez ekana lakini siwezi
kukurudisha kama mtu labda urudi
kama
mbwa ama kuku."
Jamaa akakumbuka mbwa
wanavyopata
taabu ya kulinda,akaonel ea arudi
kama
kuku.
Malaika akamgeuza
kuku,akamwambia
ajifunze kutaga kabla hajapelekwa
duniani.
Akachuchumaa na kuanza
kujikamua;yai la
kwanza likatoka.akajik amua tena,yai
la pili
likatoka.Akajik amua tena mara ya
tatu.
Wakati yai la tatu linatoka...akas
htukia amepigwa konde ikifuatwa na
sauti ya
hasira ya mkewe,"Pumbavu! Balaa
gani
hii....unakunya kitandani!!"
 
wakati mwingine unasoma thread ukidhani ina kitu cha maana baada ya kuisoma unakuta umepoteza bure muda wako. kuweni wabunifu topic za darasa la pili hazifai humu
 
wakati mwingine unasoma thread ukidhani ina kitu cha maana baada ya kuisoma unakuta umepoteza bure muda wako. kuweni wabunifu topic za darasa la pili hazifai humu

eeeehn! Hata kucoma majukwaa ya jf hujui! Pole sana!
 
wakati mwingine unasoma thread ukidhani ina kitu cha maana baada ya kuisoma unakuta umepoteza bure muda wako. kuweni wabunifu topic za darasa la pili hazifai humu

Ulidhani uko jukwaa la siasa!take it easy boy,hapa ni kwa jokes
 
wakati mwingine unasoma thread ukidhani ina kitu cha maana baada ya kuisoma unakuta umepoteza bure muda wako. kuweni wabunifu topic za darasa la pili hazifai humu

Usilete stress hapa, hili ni jukwaa la kuondoa stress. Take it easy mkuu
 
hahahahaha.......hizi ndoto bwana sa nyingine zinakutokea kweli.
 
Jamaa flani alikuwa amelala na
mkewe.Mara akamuona mtu
amesimama
kitandani.
Jamaa akafoka,"Toka hapa,we ni
nani mpaka unakuja kitandani
mwangu?" Yule
mtu akajibu,"Mi ni
malaika;mtakati fu petro,na hapa sio
kitandani mwako uko
mbinguni!"
Jamaa,"Huh! Inamaana
nimekufa,mbona
mi
bado kijana...naomba nirudishwe!"
Malaika,"Inawez ekana lakini siwezi
kukurudisha kama mtu labda urudi
kama
mbwa ama kuku."
Jamaa akakumbuka mbwa
wanavyopata
taabu ya kulinda,akaonel ea arudi
kama
kuku.
Malaika akamgeuza
kuku,akamwambia
ajifunze kutaga kabla hajapelekwa
duniani.
Akachuchumaa na kuanza
kujikamua;yai la
kwanza likatoka.akajik amua tena,yai
la pili
likatoka.Akajik amua tena mara ya
tatu.
Wakati yai la tatu linatoka...akas
htukia amepigwa konde ikifuatwa na
sauti ya
hasira ya mkewe,"Pumbavu! Balaa
gani
hii....unakunya kitandani!!"

ahahahahahahahahahahhahaha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom