USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,666
Huwa nashangaa sana unakuta mwanamke anakuambia bila ya woga 'mimi marafiki zangu ni wanaume tu sipendi wanawake wamejaa majungu,mashauzi,kujiona na sio wasiri'.
Unakuta hana haya kuzungukwa na wanaume eti ndio marafiki, ofisini wanaume tuu, huku umeolewa na unafamilia.
Hii ni kwanini, nawauliza nyie wanawake?
Unakuta hana haya kuzungukwa na wanaume eti ndio marafiki, ofisini wanaume tuu, huku umeolewa na unafamilia.
Hii ni kwanini, nawauliza nyie wanawake?