Wee ka mamaa kumbe upo?Waambie mods warekebishe kichwa cha habari umekosea
Nipo nimekuja na ngenyeeerWee ka mamaa kumbe upo?
Basi acha tuanze kukesha kwenye social media...nikiskia habari...Daby bata analiwa kama kawaida,huyu kumchunguza ni muhimu maana ametoka kwenye mikono ya mganga wa kienyeji hofu yangu isijekua lile tego alilowekewa bado linafanya kazi.
Sema walah...Nipo nimekuja na ngenyeeer
Waambie mods warekebishe kichwa cha habari umekosea
Kutongoza na kutosikilizwa kuna tuuma saana wanawake mlirlewe hili.Nirekebishie basi, wewe sio mod?
Miez mi4 bila kusexSema walah...
Tehtehteh....Kutongoza na kutosikilizwa kuna tuuma saana wanawake mlirlewe hili.
- Thread starter Daby
- Start date 23 minutes ago
Hahahaaaa ila ikitokea hivyo ujue uzi wako ndio chanzo cha yote.Basi acha tuanze kukesha kwenye social media...nikiskia habari...
Mwanamme na mwanamke wamegundiana kama mbwa najua ni nyie.
Fanya kunifundisha kutongoza... napoelekea sio kuzuri....hahahahaa Lait mngekuwa mnajua kjwa wanaume wengi sana hawajui kutongoza usingewatetea hv! mimi naamini kbs ningekuwa mwanaume somo la kutongoza ningelifaulu... jaman kuna wanaume wanaudhi hapa duniani...
kila mara salamu... basi aishie kukusalimia pm..after 30min anakutxt thru ya namba anakuambia Mambo!.. hv jaman si umenisalimia pm alafu unakuja tena nisalimia kwa simu yangu jaman huo tuuiteje??alafu kutw kunipigia kwa namba 3 tofaut tofauti hiv unataka nn lakini ww?basi uwe na la maana huna kazi kuniambia manengelo vipi?huu ujumbe mhusika uupokee sipend mm unaniikwazaaa na uzuri ushajua unanikwaza maana kila mara huachi kujistukia!
tafuteni wanaume wanaojua kutongiza jaman mbn wapo wengi tu?wawafundishe...
hebu nipe namba yako nikutongoze mimihahahahaa Lait mngekuwa mnajua kjwa wanaume wengi sana hawajui kutongoza usingewatetea hv! mimi naamini kbs ningekuwa mwanaume somo la kutongoza ningelifaulu... jaman kuna wanaume wanaudhi hapa duniani...
kila mara salamu... basi aishie kukusalimia pm..after 30min anakutxt thru ya namba anakuambia Mambo!.. hv jaman si umenisalimia pm alafu unakuja tena nisalimia kwa simu yangu jaman huo tuuiteje??alafu kutw kunipigia kwa namba 3 tofaut tofauti hiv unataka nn lakini ww?basi uwe na la maana huna kazi kuniambia manengelo vipi?huu ujumbe mhusika uupokee sipend mm unaniikwazaaa na uzuri ushajua unanikwaza maana kila mara huachi kujistukia😏😏😏😏😏😏!
tafuteni wanaume wanaojua kutongiza jaman mbn wapo wengi tu?wawafundishe...
Mimi nimeanzisha mada ya malalamiko cha kushangaza aliyejibu mada ni mmoja tu...wengine wote mnatongozana.
ahaa pitia uzi wangu mkuuAsalaaam,
Simaanishi kila unapotongoza lazima ukubaliwe, hapana! Ila nyie tunaowatongoza hata kama mnatuchukulia vikatuni, viboya na viwehu mjitahidi japo kuthamini muda wetu wa kukaa na kuwafikiria.
Unajua kutongozwa ni baraka? Hadi mtu kakaa chini kakufikiria weee mwisho kaona niende ujue yamemfika shingoni.
Niwashauri muwe mnaenda mbali ukimkataa mtu mwambie sababu ya kumkataa na mshauri cha kufanya. Sio unamkaushia asijue shida nini.
Kama tulishatongozana PM ukanikataa hapa ubaki kimya.