Wanawake acheni kutuchuna tumewachoka

Wanawake acheni kutuchuna tumewachoka

Na hii sio tu kwa wale amvao hawana kazi. Wengine wanazo na mwisho wa mwezi wanapokea mishahara mizuri. Ila sijui ninuroho au vip, anakuomba hadi nauli , ukiona cmu yake mchana tu unajua kibom, maana atakwambia nasikia njaa.
Yaan yeye anaamka asubuh anawaza atakuchunaje, akutoaje hela.
Ukimuonya ana nuna. Kero kero kero
 
Duuh! Sio kwa makavu haya aisee.

Ila dawa ya yote ni nyie wenyewe wanaume, kwa kujua kucheza na akili zetu hasa pale mnapowaombwa hizo pesa kwamba hizo shida ni za kweli au ndio mmewageuza mtaji.

Yaani mjue kujiongeza na sio kulalama
Tatizo kununiwa na kunyimwa ile kitu best
 
habari wana JF?


#. wanawake ndio mmekua waombaji wakubwa wa pesa katika mahusiano kaeni mkijua mapenzi ya kweli hayatengenezwi na pasa bali ni upendo wa dhati kutoka moyoni na kumuonea huruma uumpendae.

#. Wanawake mnaturudisha sana nyuma kwenye maendeleo kwa tabia zenu za kutuomba pesa sio siri tena wanawake wengi ni mizigo katika jamii wengi wenu mnashinda nyumbani hamtaki kazi fanyeni kazi.

#. mimi naomba unipende kwa sex park, zangu sikupi hata mia pambana hali yako kwanza wengi wenu kitandani mmekua mizigo viuno vyenu vigumu kama injini ya fuso.

#. Ukichunguza wanawake almost asilimia 80 hawana maisha mazuri kutokana na matumizi yenu mabaya ya pesa kuazia kwenye vipodozi mnatumia pesa nyingi sana nguo kila siku mnakopa mnatusababishia madeni yasio ya lazima.

[HASHTAG]#badilikeni[/HASHTAG]


Kijana TEAM B-13 yaani unataka kuniambia mpaka leo 2018 bado haujajitambua tu? Mwanaume utampaje hela mwanamke tena changu tu au wa kufanya naye tendo la ndoa kwa lisaa limoja? Mwanamke hatakiwi kuhongwa hata siku moja, HAKUNA mwanamke asiyependa kuliwa uroda, never. Wacheni kuwaendekeza hawa watu jamani...wao si vilema wala nini.
 
Afrika ni bara linaloongoza kwa kupewa misaada na mataifa ya asia au ulaya na viongozi wake wengi ni wanaume.

Kwa hio tabia ya kuomba omba wanawake wameiga kutoka kwetu wanaume wa kiafrika tuliozoea kuomba omba huko kwa wazungu
 
Wanawake mnaudhi pale tunapopanga ahadi Tukutane SEHEMU tupate MBILI TATU,,, UTAKUTA ANAKUJA NA RAFIKI YAKE,,, na mbaya zaidi huyo RAFIKI YAKE anafakamia BIA KAMA ANAFUKUZWA..... wanawake kuweni na HURUMA..
 
Kuchunwa ni sehemu ya mahusiano kubali au kataa.

Ukichunwa, honga kiakili kulingana na kipato chako. Usije ukahonga kipato chako chote ukifikiria unanunua upendo.
 
Kumpa mwanamke elfu 10kushuka,sio kuonga.mbaya 10 kuendelea
 
si ndio madhara ya mkono wa birika best.
Teh


Ila msitufanyie hivo bana, usawa wenyewe huu haueleweki

Yaani nyie tupeni tu hiyo naniliu bila mashart halafu na sie tukijaaliwa pesa tunawagea kiroho safi tu
 
Back
Top Bottom