Wanawake acheni kutuchuna tumewachoka

Wanawake acheni kutuchuna tumewachoka

TEAM 666

JF-Expert Member
Joined
Dec 7, 2017
Posts
4,423
Reaction score
8,653
habari wana JF?


#. wanawake ndio mmekua waombaji wakubwa wa pesa katika mahusiano kaeni mkijua mapenzi ya kweli hayatengenezwi na pasa bali ni upendo wa dhati kutoka moyoni na kumuonea huruma uumpendae.

#. Wanawake mnaturudisha sana nyuma kwenye maendeleo kwa tabia zenu za kutuomba pesa sio siri tena wanawake wengi ni mizigo katika jamii wengi wenu mnashinda nyumbani hamtaki kazi fanyeni kazi.

#. mimi naomba unipende kwa sex park, zangu sikupi hata mia pambana hali yako kwanza wengi wenu kitandani mmekua mizigo viuno vyenu vigumu kama injini ya fuso.

#. Ukichunguza wanawake almost asilimia 80 hawana maisha mazuri kutokana na matumizi yenu mabaya ya pesa kuazia kwenye vipodozi mnatumia pesa nyingi sana nguo kila siku mnakopa mnatusababishia madeni yasio ya lazima.

[HASHTAG]#badilikeni[/HASHTAG]
 
Duuh! Sio kwa makavu haya aisee.

Ila dawa ya yote ni nyie wenyewe wanaume, kwa kujua kucheza na akili zetu hasa pale mnapowaombwa hizo pesa kwamba hizo shida ni za kweli au ndio mmewageuza mtaji.

Yaani mjue kujiongeza na sio kulalama
 
Eti haki sawa kwa wote wakati wengine wanasubiri kuchuna tu. Nani kakuambia kuwa mwanaume ni ATM? Pambana na hali yako. Mbona kitandani raha ni 50% kwa 50%! tena na kulia juu wakati dushe linapekenya papuchi. Sasa kwanini ulipwe ?!? Mfyuu!
 
habari wana JF?


#. wanawake ndio mmekua waombaji wakubwa wa pesa katika mahusiano kaeni mkijua mapenzi ya kweli hayatengenezwi na pasa bali ni upendo wa dhati kutoka moyoni na kumuonea huruma uumpendae.

#. Wanawake mnaturudisha sana nyuma kwenye maendeleo kwa tabia zenu za kutuomba pesa sio siri tena wanawake wengi ni mizigo katika jamii wengi wenu mnashinda nyumbani hamtaki kazi fanyeni kazi.

#. mimi naomba unipende kwa sex park, zangu sikupi hata mia pambana hali yako kwanza wengi wenu kitandani mmekua mizigo viuno vyenu vigumu kama injini ya fuso.

#. Ukichunguza wanawake almost asilimia 80 hawana maisha mazuri kutokana na matumizi yenu mabaya ya pesa kuazia kwenye vipodozi mnatumia pesa nyingi sana nguo kila siku mnakopa mnatusababishia madeni yasio ya lazima.

[HASHTAG]#badilikeni[/HASHTAG]

sex park ndo nini?
 
Yoh! Yoh! Wanaumeee (heeee! )

Kuchunwa ni kuchunwa, mbaya kuchunwa bila kuchuna!

Kama umechunwa na ukachuna noma hakuna!

Duniani kote tunalipia ambavyo hatuna...

Ukichunwa ukachuna umelipia ambacho hauna
 
Na hii sio tu kwa wale amvao hawana kazi. Wengine wanazo na mwisho wa mwezi wanapokea mishahara mizuri. Ila sijui ninuroho au vip, anakuomba hadi nauli , ukiona cmu yake mchana tu unajua kibom, maana atakwambia nasikia njaa.
Yaan yeye anaamka asubuh anawaza atakuchunaje, akutoaje hela.
Ukimuonya ana nuna. Kero kero kero
 
pesa ya mwanaume lazima itoke, kama mwanamke wako haili basi kuna mwingine anajisevia kiulaini. tumechoka kuliwa kistaff bora tuwe matonya tu mpaka kieleweke
 
Ngoja waje wanaopenda six packs sasa hizo ndio nitakula
 
Back
Top Bottom