Wanaume bhna sjui kwann tuko ivi yani kiukweli wanaume wengi hupenda wake zao wavae vizuri yaani isiwe nusu uchi but akikutana na alievaa nusu uchi humtamani balaa
vizuri tu inategemea tunaenda wapi<na lazima tuwe kwenye usafiri wetu binafsi na enyoe mwanamke wangu awee akiwa na mimi ajiachie achie sio kunivalima shumizi,shidiria, kishida na msketi huo