wanaume wenzangu someni mbadilike!

Acha kuingilia vitu bila akili, Mwanamke hawezi jinunulia Gari mwenyewe, familia inanunua Gari ya Mwanamme na Mwanamke, wanshirikiana, pengine kaleta kiburi kununu vitz bila makubaliano na mumewe? Nani animus mafita? Kudadadeki.


una mke na watoto pia una kazi nzuri kwa nini hutaki kuwatunza???? samaki samaki kila siku lazima upitie kula bata pale mkeo akiomba hela ya matumizi unagoma akili matope!wanaume kwa sasa tunaelekea pabaya!kuna uzi niliwahi kuuandika unaomuhusu member wa ofisi yetu aliyempa maneno ya kuudhi mkewe alipomuomba msaada kipindi cha shida ya mafuta mkasema sana kuwa huyo dada kwa nini anunue gari ashindwe kununua mafuta nikashangaa sana yaani mke wangu anajitunza mwenyewe na mimi nipo.... halafu bado nahesabika kama mume,hapana labda nivalishwe dera mimi!mke gari ajinunulie na mafuta ajiwekee sasa mimi kazi yangu ni usiku tu au??wanaume badilikeni acheni hizo tunzeni wake zenu au vipi the boss gonga like basi....mtambuzi....wapi chelenje umeadimika sana au uko na ile ID nyingine?
 
Back
Top Bottom