Wanaume wenye sura hii, wana misimamo ambayo hawako tayari kuivunja…!

ptuuuuuuuuuu Mungu nipitishie mbali majanga haya. wakauze sura huko
 
nakupenda Asprin na nakutakia kwaresma njema sana uwe na toba ya kweli wakati huu. usiache kuwapenda wenzako kama nafsi yako, kujitoa kwa hali na mali kumtumikai Mungu na kushiriki katika vyama vya kitume kipindi hiki. hivi wewe si mwana UWAKI??
huyo mkwe wangu Asprin umesikia kabisa kesho kaalikwa kwenye 5some na wakeze,
sasa hiyo kwaresma si ataisikia kwa jirani jamani?
nakutakia mfungo mwema rafiki..... tufanye toba ya kweli na tuombeane
 
Last edited by a moderator:

thanks honey!! me love you.
 
Ninaye mmoja anasura kama hiyo kabisa lkn hana cha msimamo wala nini anayumba kama pendera!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…