Wanaume wengi wanapenda taarabu

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,897
Reaction score
67,394
Hellow

Kataa kubali wanaume wengi wanapenda taarabu sema kwasababu tu ya jamii ilivyo mjengea mwanaume kuishi ndiyo ina mpa shida kushow love kwenye mziki huu.

Na hili nimeliona kwenye sauti za busara wanaume tulikuwa wengi sana kuliko kawaida.

Na hata Dogo Janja juzi kapost kwenye wasp status akicheza taarabu

Your browser is not able to display this video.
 
Huwa hawapendi taarabu ila wanapenda yanayotokea kwenye Taarabu Since % kubwa ya wanawake wanaokua kwenye hizi Taarabu sio vimbaumbau[emoji28].
Wanafata kubambia

[emoji23][emoji23][emoji23] dah sikujua ilo mimi nilienda kwa lengo la kupunguza stress za ban
 
Dah Taarabu bwana mimi napenda hasa za Isha mashauzi ila sasa shida mikoani taarab hawapig bar

Lakini wanaamini taarab ni za wanawake ila mimi sitaki kuamini ninachojua ni mziki mzuri tu.
 
Mm huwaga navaa ear phone naskikiza taarabu ila taarabu za zamani hizi sas hv sizielewi ila taarabu n mziki mzuri yule leila rashid ni fundi haswaaa

[emoji23][emoji23][emoji23] upo vizuri
 
Mimi huwa nikiona mtu anahereni,amesuka nywele kwa namna yoyote ile au ameweka brech baasi huyo ni mwanamke,huyo kwenye video ni mke wa mtu

USSR
 
Write your reply...kabisa nisikilize taarabu,duh si ushoga huo!
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…