The Boss... hii power hebu tuichambue. Hatari sana kama mwanaume anatumia hii power kuwapata wanawake.
Haishangazi wanapoingia kwenye vitendo vya kihalifu - kupigana, kudhulumu na hata ujambazi kwa ajili hiyo.
Ufisadi nao je?
Boss wakati mwingine wale wanaume wanao-exercise power mara nyingi unakuta wana lowest levels of the social scale and disempowered, maoni yangu hayo lakinikwa wanaume its all about 'power'
power ndio kitu ambacho kila mwanaume anakitaka na anajua
'kinarahisisha' zoezi zima la kuwavutia wadada
wanasema 'power is sexy'
so power inaweza kuwa pesa, madaraka,umaarufu, kupendeza na kadhalika...
hata phisical fitness inachangia pia...
Sisi tunahitaji zaidi kumiliki mali ili mtupende, kwa hiyo ubabe katika kutafuta unatutoa jasho, lengo kuu ni kutaka kuwamiliki wanawake........ ingawa hata hivyo kwa wanawake umiliki wa mali sio lengo kuu............ kwa hiyo tunarudi pale pale kwamba kuwaza kwetu, ndoto zetu, na namna tunavyotafsiri mambo tunatofautiana sana na wanawake....................
I always drink beer, eat k'moto and mbuzi choma. Sometimes I go to gym for fitness. I do these things not for pleasing someone but for myself. I make women happy on bed, and actually they say thank you.