Wanaume wa mkoani

lovebitelol

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
964
Reaction score
972
Haya wanaume wa mkoani mna nini cha kusema kuhusiana na hii picha?
Hivi majuzi mlikuja hapa jukwaani na kashfa kibao mkisema wanaume wa dar wakija kwenye mazishi hawawezi hata kufukia kaburi.
Kimsingi hapa mmeonyesha udhaifu mkubwa mno.
 
Mkuu ina maana hao wanaume wanatokea mkoa mmoja? Wanaume wa dar itabidi mje tuition ya lugha ya kiswahili mikoani
la sivyo hariri kichwa cha uzi
 
Mkuu ina maana hao wanaume wanatokea mkoa mmoja? Wanaume wa dar itabidi mje tuition ya lugha ya kiswahili mikoani
la sivyo hariri kichwa cha uzi
wote wa mkoani tu haijalisha wanatokea mkoa gani,iwe mbeya,mara.arusha nk wote wa mkoa tu
 
Kulikuwa na wosia jeneza libebwe na wanawake pekee. Wewe ulitaka tufanye nini? Tuvunje wosia? Je, wanawake wa Dar wangeweza kubeba hilo jeneza? Wangekubali kuharibu kucha, kope, masaburi na nywele zao bandia?
 
Mkuu ina maana hao wanaume wanatokea mkoa mmoja? Wanaume wa dar itabidi mje tuition ya lugha ya kiswahili mikoani
la sivyo hariri kichwa cha uzi
Waambie wenzako mje hapa mtengue kauli
 
SHIMBA ameshatengua kauli hapo
. Wanaume wa dar sio kuchimba kaburi tu hata kuweka sura kimsibamsiba hamuwezi nyuso zilishapakwa poda zimelelemuka
Sura za msiba za nini mkuu? Waache wafu wawazike wafu wenzao
 
KENYA HIYO. NADHANI MAREHEMU ALIKUWA NABII NA ALIAMURU JENEZA LIBEBWE NA WAMAMA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…