Haya wanaume wa mkoani mna nini cha kusema kuhusiana na hii picha?
Hivi majuzi mlikuja hapa jukwaani na kashfa kibao mkisema wanaume wa dar wakija kwenye mazishi hawawezi hata kufukia kaburi.
Kimsingi hapa mmeonyesha udhaifu mkubwa mno.
Haya wanaume wa mkoani mna nini cha kusema kuhusiana na hii picha?
Hivi majuzi mlikuja hapa jukwaani na kashfa kibao mkisema wanaume wa dar wakija kwenye mazishi hawawezi hata kufukia kaburi.
Kimsingi hapa mmeonyesha udhaifu mkubwa mno.View attachment 397019
Kulikuwa na wosia jeneza libebwe na wanawake pekee. Wewe ulitaka tufanye nini? Tuvunje wosia? Je, wanawake wa Dar wangeweza kubeba hilo jeneza? Wangekubali kuharibu kucha, kope, masaburi na nywele zao bandia?
Marehemu aliacha wosia jeneza lake libebwe na wanawake pekee. Wewe ulitaka tufanye nini? Tuvunje wosia wa marehemu? Je, wanawake wa Dar wangeweza kubeba hilo jeneza?
Kulikuwa na wosia jeneza libebwe na wanawake pekee. Wewe ulitaka tufanye nini? Tuvunje wosia? Je, wanawake wa Dar wangeweza kubeba hilo jeneza? Wangekubali kuharibu kucha, kope, masaburi na nywele zao bandia?
Kuna mwanamme mmoja wa Dar alisindikiza msiba hadi mby maeneo ya Isanga akaropoka msibani "demu alikuwa na mk...u balaa,!" Jamaa kidogo wamgeuze 'mbalagha'