Kila SIDECHICK anatamani siku moja awe MAIN
CHICK,tena hawa ambao uliwambia IAM MARRIED
halafu wanajifanya Mioyo yao imetengenezwa na
Maganda ya Bamia, anakwambia "Worry not darling
mi sinaga hata wivu wala sitakubana ila tu nikikutaka
unipe dyudyu yangu usijifanye bize na mkeo am ready for wateva" ndo wana balaa sio mchezo
Mkianza atajifanya anamheshimu mkeo kabla ya
kupiga simu anakuuliza 'Are u free nikupigie' ila
baadae dyudyu ikikolea anasahau BAUNDARI basi
anajikurupukia tu sa9 usiku anatwanga eti"Nimekuota
Bebi i wish you were here" Mhh SAA HIZII?? Akiona hukolei sasa anakutengenezea balaa ili mkeo
agundue,akikukosa kwenye Lipstick kwenye kola ya
shati basi Siku hizi wana Misabuni yao na Viungo-
Mseto vya kuweka ndani ya Uvungu kunogesha Penzi
vinanukia balaa vinaitwa MISHKI NA SHABU,Nyuchi
zinawekewa Pilipili hoho mixer na viungo vya Pilau mzee ukichepuka ukirudi home mkeo lazima agundue
maana unabakia na harufu ya Biriani siku 3 hata uoge
na OMO haitoki labda ujisugue na Utomvu wa Mpapai
na Steel Wire!!
Chepuko nuksi ujiloge umtie mimba ndo balaa mpaka Trump atajua.
Katika topic zako zote, leo umenena mkuu, ni kweli tupu.Kila side chick natamani siku moja awe main chick, tena hawa ambao uliwambia Iam married halafu wanajifanya mioyo yao imetengenezwa na maganda ya bamia, anakwambia "worry not darling mi sinaga hata wivu wala sitakubana ila tu nikikutaka unipe dyudyu yangu usijifanye bize na mkeo am ready for wateva"
Ndo wana balaa sio mchezo mkianza atajifanya anamheshimu mkeo kabla ya kupiga simu anakuuliza 'are u free nikupigie' ila baadae dyudyu ikikolea anasahau (baundary) basi anajikurupukia tu sa9 usiku anatwanga eti "nimekuota bebi i wish you were here"
Mhh saa hizii? Akiona hukolei sasa anakutengenezea balaa ili mkeo agundue, akikukosa kwenye lipstick kwenye kola ya shati basi siku hizi wana misabuni yao na viungo- mseto vya kuweka ndani ya uvungu kunogesha penzi vinanukia balaa vinaitwa mishki na shaibu.
Nyuchi zinawekewa pilipili hoho mixer na viungo vya pilau mzee ukichepuka ukirudi home mkeo lazima agundue maana unabakia na harufu ya biriani siku 3 hata uoge na OMO haitoki labda ujisugue na utomvu wa mpapai na steel wire.
naona umeamua kuwaharibia side chickKicheko chako tu
sasa mnawatakaga wa nini wakati wanaharibu ?Na akikukosa kote huko anakuwekea kufuli lake kwenye mkoba wa kazini au kwenye gari
Aaah ndo madhaifu tena tufanyeje sasa tuvumiliane tu [emoji124] [emoji124]sasa mnawatakaga wa nini wakati wanaharibu ?
mimi nitakuvumilia kama nitakuwa naona pesa nyumbaniAaah ndo madhaifu tena tufanyeje sasa tuvumiliane tu [emoji124] [emoji124]
Kila ukilala,ukiamka unawaza leo nitoe thread gani,hivi unaga shughuri nyingine ya kufanya au hunaga cha kusema hd utuseme kila siku wanawake?yani nakupatia picha ht huyo demu wako yukoje?ndio nyie mnakujaga kutoa siri za wake zenu ht km kajamba utaenda kumtangazia,lol acha hizo bhana