Wanaume uhuni mtaacha lini?

Wanaume uhuni mtaacha lini?

Nakuchukia sana

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2025
Posts
594
Reaction score
1,180
Dada akipita unamwangalia,akiinama unamchungulia hasa kama kavaa kimin,unamkagua mpaka kavaa chupi rangi gan,kama hajavaa sidiria unachungulia machuchu Hii tabia nmeiona kwenye klabu nyingi,hiv ushawai ona mwanamke akichungulia mwanaume.kwel masela uhun utatuingiza majaribun
 
Sidhani kama kuna kuacha wanawake pia mnaongoza "Yaani mtu kaolewa anaanza kunizoea kuniita MME" hapo inakuwaje na ukiangalia Shetani alinipitia siku moja tu.
 
Sidhani kama kuna kuacha wanawake pia mnaongoza "Yaani mtu kaolewa anaanza kunizoea kuniita MME" hapo inakuwaje na ukiangalia Shetani alinipitia siku moja tu.
Huyo shekhetani alikupitia mkaenda wapi?
 
Kwani ulisha wahi kuona maji yakipanda mlima...🤔
Ebu acha ushamba mazee, mwanaume aliye kamilika lazima ayafanye hayo unayo yaona uhuni, and that's nature....🫠
 
Back
Top Bottom