Wanaume tutafute pesa

Wanaume tutafute pesa

Albinoomweusi

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2016
Posts
3,482
Reaction score
8,655
Ukweli nikiri kuwa kwangu mimi Uchumi umeyumba Sana, Lakini Alhamdulillah pesa ya kula watoto inapatikana.

Mke wangu katika kiduka chake mambo yanaendelea hapa na pale anapata chochote lakini mmh masimango yameanza na asubuhi hii nimepata lisala ya nguvu na nimeambiwa hata nikikasirika lazima niambiwe.

Wanaume tutafute pesa hawa wenzetu ni wenzetu tukiwa nazo wanakuwa nawe bega kwa bega lakini hawa wenzetu si wenzetu mambo yakiyumba.

Pia ni wepesi mno kusahau fadhila na kila jambo ulilofanya huko nyuma wao wnaangalia wakati uliopo na wakati ujao si wakati uliopita .

WANAUME TUTAFUTE PESA
 
Ama kweli tutafute sana pesa, na tusitegemee chanzo kimoja pekee
 
Pumbavu sana hawa na kujifanya wanakupenda akili yao wanaijua wenyewe ukitoka hapo wanaanza kusema yeye ndo unatunza familia
 
Kweli kabisa mkuu. Mimi huwa nazisaka sana, na nikiwa nazo ndo nashuhudia vema uzuri wa mwenza wangu usoni mwake ulonifanya nimuoe, ila zikikata napata tabu sana!

Namuona mtu wa tofauti ambaye sikuwahi kuwaza kuwa angekuwa mwenza wangu. Basi nilipoelewa somo vizuri kabisa nikaamua kila ninapokuwa nazo nazitumia na mzuri mwingine ambae sifahamu ubaya wake.

Nakuwa na amani sana kuliko kuzitumia pesa zangu kinafiki na mtu ambaye huniongezea mateso wakati nipo juu ya mawe. Cha msingi ni ku-cover vizuri mahitaji ya msingi ya familia.

Wanawake wa namna hiyo hawajui kuwa kumdhalilisha mume, huwa wanajitengenezea mwanya wa kukosa mambo mazuri kutoka kwetu.
 
Wanaume tutafute pesa hawa wenzetu ni wenzetu tukiwa nazo wanakuwa nawe bega kwa bega lakini hawa wenzetu si wenzetu mambo yakiyumba.
Kwahio wewe unathamani kwa mkeo ukiwa na hela,siku ukikosa huna thamani? Kile kiapo chenu kwa shida na raha hakitumiki ?
 
Pesa sio guarantee mkuu..
Waweza kuwa nayo na bado akakudharau akawa anagawa mzigo kwa bodaboda na watu wa kusafisha kucha.
Cha muhimu tafuta pesa tunza watoto wako.
 
Kweli kabisa mkuu. Mimi huwa nazisaka sana, na nikiwa nazo ndo nashuhudia vema uzuri wa mwenza wangu usoni mwake ulonifanya nimuoe, ila zikikata napata tabu sana!

Namuona mtu wa tofauti ambaye sikuwahi kuwaza kuwa angekuwa mwenza wangu. Basi nilipoelewa somo vizuri kabisa nikaamua kila ninapokuwa nazo nazitumia na mzuri mwingine ambae sifahamu ubaya wake.

Nakuwa na amani sana kuliko kuzitumia pesa zangu kinafiki na mtu ambaye huniongezea mateso wakati nipo juu ya mawe. Cha msingi ni ku-cover vizuri mahitaji ya msingi ya familia.

Wanawake wa namna hiyo hawajui kuwa kumdhalilisha mume, huwa wanajitengenezea mwanya wa kukosa mambo mazuri kutoka kwetu.

Nakuelewa sana kaka waswahili walisema maradhi yote ugua lakini Kuchacha usiombeee
 
Back
Top Bottom