Wanawake ukitumia akili sana watakusumbua mnooo.
Tumia akili kidogo tu. Mimi nimeshabadilisha mtazamo wangu kabisa.
Mimi kuna siku nilimkuta mwanamke kichakani na mfungwa
Check Nabii Tito ana wanawake wawili anawaendesha anavyotaka.
Angalia Manara kaoa pisi kali.
Check mtu boya boya kama MC Pilipili, ana pisi kali
Wewe unaweza kukuta umemaliza UDSM, una vijisenti lakini demu hakutaki amemkomalia bodaboda, akishazalishwa ndio anajileta kwako.
Tumia akili kidogo tu.