Kuna vile vijibwa vidogo vya aina ya Chihuahua, wenyewe wavipenda sana saa zote wanaviweka mapajani, wakitambea wanavibeba ubavuni karibu na matiti na usiku wanalala navyo.
Sasa bwana mdogo Secret Star fanya mpango wa kupima DNA ya mtoto, ujue kati yako na mbwa nani baba wa ukweli, isije ikawa umeuziwa mbuzi kwenye gunia.
At least umemtia moyo nadhani hata kula amekula sasaKabla hujawa baba ,ulikuwa mtoto then ulithaminika now umekuwa baba mwenye kutoa uthaman kwa hivyo vyote usifadhaike sana au kama VP red utoton au use mwanamke
Sasa mkuu unataka sisi tukusaidie namna gani? Umeiona Jf ndo mahakama ya kuleta mashitaka ya kutukanwa na mkeo/mchumba wako? Pole sana ila kweli inauma, kutukanwa namna hiyo siyo njema kweli, yaani unazidiwa na mbwa? Kwa maana nyingine mchumba wako anapata mkong'oto wa haja kutoka kwa mbwa, kuliko ule wa kwako!! SHIKAMOO MBWA!!Mimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.
So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.
Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.
Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.
Sasa mkuu unataka sisi tukusaidie namna gani? Umeiona Jf ndo mahakama ya kuleta mashitaka ya kutukanwa na mkeo/mchumba wako? Pole sana ila kweli inauma, kutukanwa namna hiyo siyo njema kweli, yaani unazidiwa na mbwa? Kwa maana nyingine mchumba wako anapata mkong'oto wa haja kutoka kwa mbwa, kuliko ule wa kwako!! SHIKAMOO MBWA!!
Ama kweli kuna watu hawajajaliwa kabisa kuelewa kwa mifano!...wewe hapo kwa akili yako ya kawaida haujang'amua kitu kabisa?!!
Mimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.
So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.
Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.
Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.
Mimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.
So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.
Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.
Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.
Muulize mkeo amefuga Mbwa wangapi!!??, kama anafuga Mbwa ujue baadhi ya majukumu yako yanafanywa na huyo/hao Mbwa, kwa hiyo huthaminiwi tenaMimi ni Mtanzania ila mchumba wangu na mtoto kwa sasa wapo Sweden"'.
So jana nilikuwa naongea naye online akanistusha kwa kauli yake hii eti huko Ulaya kiumbe wa kwanza kuthaminika ni Mtoto"' nikaona hilo ni sawa sababu hata huku pia ni hivyo"'.
Mtu wa pili kuthaminika akasema ni Mwanamke"' nikaona pia sawa sasa akanishangasha kwa kinachofuata na kusema eti ni Mbwa!!! haaa!! niliumia sana yaani mbwa ni bora kuliko mimi huko kwenye nchi zilizoendelea.
Wanaume tulifikilieni hili ipo siku panya atakuwa bora kuliko sisi.
si bora angekuwa anafanya mapenzi na mbwa!..keshamchoka huyo hamtaki, mwanamke hawezi kukwambia hivyo hata siku moja!