Vesper-valens
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 5,282
- 7,377
Wanaume tuhakikishe majukumu yetu tunayatimiza kwa
Hahahaha cheap productsNimeshahudumia ndoa kadhaa zimevunjika. Nishalala na wake za watu 3 kuna mmoja nilimjaribu anizalie mtoto akakubali.
Ni kuzalisha na kulea mtoto /watoto
Facts kanunue nguo GSM naja lipaUkweli ni kwamba Nature ya mwanaume ni ubinafsi kwa kitu chake kisitumike na mtu mwingine. Wanawake wangelijua hili pengine ndoa zingeendelea kuwa salama. Ila kwa upande wa wanawake wa kizazi hiki Nature yao inaendana na mfumo wa 'Mbwa' (Mbwa jike akiwa kwenye siku za kutumika, mijibwa ya mtaa mzima inakuja kuonja hadi inapigana kama sisi wanaume tunavyochukia mtu mwingine asije kuonja kwa wake zetu)
Wanaume wengi tumeishia kuwa na majuto na tumeishia kuwa disappointed. Kwa sababu kile tulichokitarajia toka kwa wake zetu sicho tunachokipata
Sio kila mwanaume anayetembea nje ya nyumba yake anapenda,
Sio kila mwanaume anayechelewa kurudi nyumbani anapenda,
Sio kila mwanaume aliyegeuka mlevi na tabia zisizofaa anapenda,
NA KWA SABABU WENGI HATUJUI KUTAFUTA NJIA SAHIHI ZA KUREKEBISHA CHANGAMOTO ZA NDANI YA NYUMBA ZETU, TUNASUKUMWA KUWAACHA WAKE ZETU NA KUCHUMBIA WENGINE. KUMBE HATA HAWA WAPYA NAO STAILI YAO YA MAISHA NI HII HII YA KUCHEPUKA HADI ATAPOFIKIA UMRI WA ZAIDI YA MIAKA 45 NDIO ATATULIA MWENYEWE NA SIO KWA KUCHUNGWA.
It doesn't matterWanaume tuhakikishe majukumu yetu tunayatimiza kwa
Mkuu kataa ndoa mapema usisubili stress navidonda vyatumbo huku mkiburuzana ustawi wajamii kugawana mali pasu pasu namalayaAwa wakataa ndoa naona kama wanaanza nishawishi vile. Maana visa vya usaliti ni vyingi mnoo, enewei ngoja nivute muda kwanza
Nyie mna formula basiTupoo tunafatilia mjadala kimya kimyaaaa..ilaa kikubwaa waache kuishi kwa mazoea na wake zao full stop
.
Mwanamke hujamkuta bikra. Watu 20 + washaipiga unawaza um control asipigwe nje? Tunajifariji tu, ila sio rahisi.Msururu wa Wanaume wenzetu waliokwisha gongewa si haba. Kibaya zaidi kugongewa ilikuwa Siri ya ndani ila siku hizi hii mitandao inatuexpose saana.
Nini tufanye? Hakuna Mwanaume atakeyesimama hapa na kujitapa mke wake hamsaliti. Moyo wa mkeo ni kichaka.
Na wanaochapiwa wengi tunaona wanavyowapenda wake zao. Je , wanawake tupunguze upendo? shida Nini maana hapa shida sio pesa.
Au hatuwafikishi kunako? Si yanajadilika haya. Siuniambia hata nipake Mkongo.
Mwezio akinyolewa zako tia maji. Sijui kipi kifanyike maana hii kasi ni ya ajabu saana.
Kongole mkuuuShida ni kwamba mwanamke akishakujua vizuri, yaani kukawa hakuna tena kitu kinachomfanya aumize akili kukufikiria basi anaaza kupunguza interest na wewe, tena wengi huwa tunajichanganya kuwaondolea wasiwasi kwa kuwahakikishia kwa kila namna kwamba "wao ni wao na eti hatuna ujanja mbele yao" , kwishaaaa.
Being mysterious drags women's attention and hence attraction, sasa hii hali ni ngumu sana kwa wanandoa kuitekeleza kutokana na ukaribu wao wa kila siku unless akili nyingi zitumike.
Ndiomaana yale mapenzi ya mbalimbali (kabla ya ndoa) huwa yanakuwa ya moto sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
FactsMadhara ya kupendewa kitu fulani hasa pesa au status lazima wamtwange tu na mwichi
Muhuni wake wa zamani anapepeta mpaka chuya na yeye niwa a e i o ..
Mimi binafsi nawahurumia wanaume wenzangu waliopo dar wazee zinapigwa sana
Haha kataa ndoa gang inaendelea kukua sanaKuna Manzi flan hiv kaolewa Mwaka jana, na tayri kashazaa.. Juzi kati hapo nimetest kumuomba Mzigo wala hajafikiria mara mbili..
Mke wangu mtarajiwa nitamuweka wazi kuwa atombwe nje weee ila nisimkamate. Maana nitampeleka Mbinguni na Maiti yake haitokaa ionekane Milele.
Mkuu mke wa mc pilipili kafanya nn.MC Pilipili watakuwa washatuelewa sasa
Katombesha mbususu kwa njemba ya njeMkuu mke wa mc pilipili kafanya nn.
Sijaipata hii taharufa.
Nyie umejuaje , au kuna sehemu umesoma mkuuKatombesha mbususu kwa njemba ya nje
Habari ndo hiyo mkuuNyie umejuaje , au kuna sehemu umesoma mkuu
Unajitahidi Sana kuwajaza watu ujinga lakini utawapata wajinga tuNi mwendo wa kuzalisha tu sio kuoa mkuuuu we tia mimba lea mtoto tia mimba lea mtoto
Dont attach strings
Ok naomba link niseme kuna jamaa aliniambia atanipa hajanipa , yeye alisema aliona twitterHabari ndo hiyo mkuu
DuuuMe nawasaidia tu,hata wewe ukitaka nikusafishe mtaro nakusaidia vilevile