Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,608
- 93,405
Mapinduzii Daimaaaa
Hebu tusemezane kidogo bandugu maana vilio vya usaliti kwa walio katika mahusiano na hapa siwaongelei wana ndoa hawahusiki na mada hii bali nawalenga wazinzi wenzangu naona vinaongezeka kila kukicha.
Formula ni hii iko very simple n clear, umemkuta demu anapendeza siyo bikra umemshushia mistari yenye vina akakuelewa mkaanzisha mahusiano hivi sisi wanaume huwa tunafikiria nini hasa?
Ukweli ni kwamba ni wanawake wachache sana ndio wanakuwa hawapo katika mahusiano kwahiyo Mwanaume kumbuka unapofanya mapinduzi kuna mwanaume mwenzako naye bila wewe kujuwa unamuacha katika mateso makubwa sana ya kuachwa.
Karma is a bitch mwenzio akinyolewa zako tia maji kabisa saa yako yaja
Kwenye kipindi hiki wengi wanaokuwa safe ni wale wanaopinduwa tawala zilizopo na baada ya kipindi si kirefu wanafunga ndoa otherwise wanawake pia wakigunduwa makosa yao urudi kwa mtu wake wa zamani (zimwi likujualo)
Otherwise kwa style hizi za uchumba sugu tangu Mkapa akiwa Rais mpaka leo Jk ndio anaaga wewe mwanaume husomeki ni lazima akitokea mwanaume serious unaphgwa chini.
N:b, wale wanaume wanaojipa majukumu ya kumgharamia mwanafunzi kana kwamba wao ndio wazazi ni kiherehere chako mwenyewe.
Ukiachwa jidedicate mwenyewe jisong la Lady Jaydee.
Hivi sasa waweza kwenda, uwe wangu usiwe wangu yote ni sawa.
Hebu tusemezane kidogo bandugu maana vilio vya usaliti kwa walio katika mahusiano na hapa siwaongelei wana ndoa hawahusiki na mada hii bali nawalenga wazinzi wenzangu naona vinaongezeka kila kukicha.
Formula ni hii iko very simple n clear, umemkuta demu anapendeza siyo bikra umemshushia mistari yenye vina akakuelewa mkaanzisha mahusiano hivi sisi wanaume huwa tunafikiria nini hasa?
Ukweli ni kwamba ni wanawake wachache sana ndio wanakuwa hawapo katika mahusiano kwahiyo Mwanaume kumbuka unapofanya mapinduzi kuna mwanaume mwenzako naye bila wewe kujuwa unamuacha katika mateso makubwa sana ya kuachwa.
Karma is a bitch mwenzio akinyolewa zako tia maji kabisa saa yako yaja
Kwenye kipindi hiki wengi wanaokuwa safe ni wale wanaopinduwa tawala zilizopo na baada ya kipindi si kirefu wanafunga ndoa otherwise wanawake pia wakigunduwa makosa yao urudi kwa mtu wake wa zamani (zimwi likujualo)
Otherwise kwa style hizi za uchumba sugu tangu Mkapa akiwa Rais mpaka leo Jk ndio anaaga wewe mwanaume husomeki ni lazima akitokea mwanaume serious unaphgwa chini.
N:b, wale wanaume wanaojipa majukumu ya kumgharamia mwanafunzi kana kwamba wao ndio wazazi ni kiherehere chako mwenyewe.
Ukiachwa jidedicate mwenyewe jisong la Lady Jaydee.
Hivi sasa waweza kwenda, uwe wangu usiwe wangu yote ni sawa.