sawa baba watakuja... baba usiseme kwa mama lakini kwanza baba unakumbuka ile siku usiku we na mama ulisema kuwa mahari kubwa kwa mwanao ni upendo ukiwa na maana kijana anipende kwa dhati na ndo kitu kizuri ... ila baba mimi nataka watoe hela nyingi
sawa baba watakuja... baba usiseme kwa mama lakini kwanza baba unakumbuka ile siku usiku we na mama ulisema kuwa mahari kubwa kwa mwanao ni upendo ukiwa na maana kijana anipende kwa dhati na ndo kitu kizuri ... ila baba mimi nataka watoe hela nyingi